Mwenyekiti wa CHama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa Bi. Silafu Jumbe Maufi amemtaja Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini Aesh Hilaly kuwa Mbunge Msikivu na anayewajali wananchi waliompa dhamana ya kuwaongoza.
Mabeseni 100 kwa bei ya jumla ni hela ya kawaida sana,mwenzake Msukuma kule jimboni kwake katoa AMBULANCE kila kata.
Hapo mjini Rainer Lukarah agombee,mpate mbunge makini,huyo apumzike.Fitna ziwekwe pembeni.
Mabeseni 100 kwa bei ya jumla ni hela ya kawaida sana,mwenzake Msukuma kule jimboni kwake katoa AMBULANCE kila kata.
Hapo mjini Rainer Lukarah agombee,mpate mbunge makini,huyo apumzike.Fitna ziwekwe pembeni.