Pre GE2025 Mwenyekiti CCM Ruvuma: Kuna viongozi CCM wanaondolewa ondolewa kwenye nafasi zao, hiyo haikubaliki.

Pre GE2025 Mwenyekiti CCM Ruvuma: Kuna viongozi CCM wanaondolewa ondolewa kwenye nafasi zao, hiyo haikubaliki.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho amewataka baadhi ya viongozi kutowaondoa Madarakani Mabalozi kipindi hiki Cha uchaguzi Kwa madai ya kutokuwaunga mkono madiwani na wabunge au watia nia ambao wako karibu na viongozi wa kata

Amesema hayo wakati akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa jimbo la Madaba lililopo Wilaya ya Songea ambapo amewataka viongozi kufuata taratibu na sheria za chama za kuwaondoa viongozi hao na sio sababu ya kutokuungwa mkono.

 
Back
Top Bottom