Bado Hujasema
Member
- Dec 1, 2024
- 12
- 14
Leo nimekutana na clip moja kwny group flani likimuonesha mwenyekiti wa CCM Singida akiwaambia wakina mama wassishie kuzaa mtoto mmoja au wawili kwani mama Samia amewezesha hudum ya afya iko vizuri na uchumi pia uko sawa.
Nikakumbuka kauli ya Hayati Magufuli fyatueni tu baadae waziri wa Afya wakati huo Ummy Mwalimu akajitokeza na kusema Rais alikuwa anatania.
Sasa huyu mama lengo lake ni nini? Ikiwa serikali inapambana kuelimisha juu ya uzazi wa mpango kwa ajili pia ya kuboresha afya ya mama yeye kwa cheo chake anawaambia wanawake wenzie wazae hadi kumi na moja.
Nikakumbuka kauli ya Hayati Magufuli fyatueni tu baadae waziri wa Afya wakati huo Ummy Mwalimu akajitokeza na kusema Rais alikuwa anatania.
Sasa huyu mama lengo lake ni nini? Ikiwa serikali inapambana kuelimisha juu ya uzazi wa mpango kwa ajili pia ya kuboresha afya ya mama yeye kwa cheo chake anawaambia wanawake wenzie wazae hadi kumi na moja.