Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mara baada ya CHADEMA Shinyanga na Mwanza kuonesha kwamba wanamuunga mkono Tundu Lissu, CHADEMA Ilala nao wameonekana kutoa tamko.
Mnaweza kuwatukana CHADEMA kuwa kina mgawanyiko lakini hii ndo aina ya demokrasia inavyotakiwa kuwa
Mambo kama haya huwezi kuyakuta CCM ambapo Mwenyekiti anachukuliwa kama Mfalme au Malkia
======================================
Mwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.
Mara baada ya CHADEMA Shinyanga na Mwanza kuonesha kwamba wanamuunga mkono Tundu Lissu, CHADEMA Ilala nao wameonekana kutoa tamko.
Mnaweza kuwatukana CHADEMA kuwa kina mgawanyiko lakini hii ndo aina ya demokrasia inavyotakiwa kuwa
Mambo kama haya huwezi kuyakuta CCM ambapo Mwenyekiti anachukuliwa kama Mfalme au Malkia
======================================
Mwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.