Na hii ni kutokana na kuwainspaya kutokana na kubalance maisha yake na huku anajitoa kwenye siasa, kuwa thabiti na yuko tayari hata kufa kwaajili yao, hao wengine kumfikia bado saaana
Nyieeeee Mungai amemwambia Mbowe asiogope yoyote hata ambao wako nje ya nchi, asonge mbele wako nyuma yao. Kijembe hiki kwa anko Lissu.