Njombe, Tanzania
CHADEMA MKOA WA NJOMBE WAMALIZA UCHAGUZI
Mwenyekiti wa CHADEMA aliyechaguliwa tena kwa miaka mingine 5 kamanda Rose Mayemba awashukuru kwa kumuamini na kumchagua tena kuwa mwenyekiti wa mkoa.
Miaka mitano iliyopita CHADEMA iliweza kusimama imara wakati mgumu wa mikutano na shughuli za vyama vya siasa ilikuwa imezuiwa kinyume na katiba ya nchi wakati wa utawala wa John Magufuli.
Sasa 2024 baada ya kumuamini tena kamanda Rose Mayemba kuendelea kwa miaka mitano mingine, CHADEMA itazidi kusonga mbele kusimama kwa niaba ya wananchi wa Njombe bila kujali vyama.
Toka maktaba:
11 March 2024
Rose Mayemba alipokutana na DC mheshimiwa Kissa, kufuatia risiti ambazo wananchi walipeleka malalamiko CHADEMA ili kwa niaba yao waanchi waieleze serikali madudu ya Halmashauri
CHADEMA MKOA WA NJOMBE WAMALIZA UCHAGUZI
Miaka mitano iliyopita CHADEMA iliweza kusimama imara wakati mgumu wa mikutano na shughuli za vyama vya siasa ilikuwa imezuiwa kinyume na katiba ya nchi wakati wa utawala wa John Magufuli.
Sasa 2024 baada ya kumuamini tena kamanda Rose Mayemba kuendelea kwa miaka mitano mingine, CHADEMA itazidi kusonga mbele kusimama kwa niaba ya wananchi wa Njombe bila kujali vyama.
Toka maktaba:
11 March 2024
Rose Mayemba alipokutana na DC mheshimiwa Kissa, kufuatia risiti ambazo wananchi walipeleka malalamiko CHADEMA ili kwa niaba yao waanchi waieleze serikali madudu ya Halmashauri