Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mwenyekiti wa CHAUMMA, Hashim Rungwe amemtaka mtangazaji kuchukua fomu na kugombea katika uchaguzi ujao wa chama hicho kama anaona kwamba mwenyekiti wa sasa amekaa muda mrefu madarakani
Soma pia: CHAUMMA Morogoro: Tutahakikisha tunashika dola uchaguzi mkuu ujao
"Chama tumekiasisi, tumekiweka pale. Kama kuna mtu anaona anafaa aje achukue fomu. Wewe mbona hauji kwenye chama hiki ukagombea. Wewe nakuomba uje kwenye hiki chama wakati wa kugombea. Ugombee. Mbona huji unakaa tu kuja kutuuliza, unauliza vipi sasa?"
Mwenyekiti wa CHAUMMA, Hashim Rungwe amemtaka mtangazaji kuchukua fomu na kugombea katika uchaguzi ujao wa chama hicho kama anaona kwamba mwenyekiti wa sasa amekaa muda mrefu madarakani
Soma pia: CHAUMMA Morogoro: Tutahakikisha tunashika dola uchaguzi mkuu ujao
"Chama tumekiasisi, tumekiweka pale. Kama kuna mtu anaona anafaa aje achukue fomu. Wewe mbona hauji kwenye chama hiki ukagombea. Wewe nakuomba uje kwenye hiki chama wakati wa kugombea. Ugombee. Mbona huji unakaa tu kuja kutuuliza, unauliza vipi sasa?"