Mwenyekiti Freeman Mbowe kuachia tu uenyekiti haitoshi anapashwa kukamatwa, kuchunguzwa na kufikishwa mahakamani ili arejeshe fedha zote za CHADEMA

Mwenyekiti Freeman Mbowe kuachia tu uenyekiti haitoshi anapashwa kukamatwa, kuchunguzwa na kufikishwa mahakamani ili arejeshe fedha zote za CHADEMA

TrioNeTwork

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2022
Posts
444
Reaction score
382
Kuna mambo tunaweza kubishana pengine ili kulinda itikadi au falsafa zetu ila kamwe hatuwezi kubishana ili kulinda uhalifu na uovu mkubwa kwa kiwango hiki kwenye taasisi kubwa kama CHADEMA.

Nimemsikiliza Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu anasema endapo atashinda na kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa basi atafutilia mbali utaratibu wa mtu mmoja kupita peke yake kwa wadau ili kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha na kuendeshea shughuli mbalimbali za chama utaratibu ambao umedumu kwa kipindi Cha zaidi ya Miaka 20 sasa.

Kwa lugha nyepesi huenda ama ni kweli Freeman Mbowe ni mnufaika mkubwa wa fedha za CHADEMA kuliko hata CHADEMA yenyewe kwa miaka hii 20 aliyokaa madarakani,

Najaribu kuwaza ni kiasi gani Cha fedha Mwenyekiti Freeman Mbowe amejizolea toka kwa wapenzi, Wafuasi, wanachama na Viongozi wa CHADEMA wasiotaka kujulikana kwa majina ila tu kwa Mwenyekiti wa Chama Freeman Mbowe kwa kipindi chote hiki Cha miaka 20.

Najiuliza zaidi ni jambo gani lililomfanya Mwenyekiti Freeman Mbowe asitumie kabisa akaunti ya CHADEMA kwa sharti la wadau hao wa CHADEMA kutoandika majina yao rasmi ( watumie fictious names ) kwa lengo la kukuza usiri na kuepa mkono wa CCM na dola.

Mwanafalsafa mmoja wa Kigiriki aliwahi kusema " Yeyote unayemwona mbele yako jua kuwa mtu huyo ni mwizi kwa asili" baada ya falsafa hii ya kila binadamu ni mwizi kwa asili ndio maana utaona leo kila sehemu ya pesa lazima ihusishe watu zaidi ya wawili au wawili mfano hata Password ni mtu wa pili,

Kwa dhana hii ya kila mtu ni mwizi kwa asili, Je falsafa hii haitamuhusu Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa kipindi hiki chote cha zaidi ya miaka 20? Ninani anajua Mwenyekiti huyu kakusanya kiasi gani Cha fedha za wadau hata sasa? Je, hao wadau wataendelea kumwamini Mwenyekiti Freeman Mbowe hata baada ya Uchaguzi huu?

Nahitimisha hivi, kama kweli Mwenyekiti Freeman Mbowe amekuwa akifanya haya kwa miaka yote 20 ya uongozi wake basi Freeman Mbowe ndio Mtanzania pekee aliyejikusanyia pesa nyingi zaidi za Watanzania kwa mgongo wa kuzipeleka CHADEMA na huenda Sasa Uenyekiti wake ukawa wa faida zaidi hata ya Urais wa nchi na madhara yake huenda ikawa ni ngumu zaidi kumwondoa kwenye nafasi hii hasa baada ya kujitengezea Wafuasi binafsi na Vibaraka kwa kutumia michango hiyo ya siri ya Wafuasi, wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ambayo haitozwi Kodi, haikaguliwi na CAG wala haijulikani kwa mtu yeyote ila yeye.

Na kwa ujumla wake nimepata na tumepata majiibu ya kwanini Mwenyekiti Freeman Mbowe pamoja na mateso na manyanyaso mengi toka kwa dola na Serikali lakini bado Mwenyekiti huyu anaifurahia nafasi yake hiyo kwa miaka zaidi ya 20.
 
Kuna mambo tunaweza kubishana pengine ili kulinda itikadi au falsafa zetu ila kamwe hatuwezi kubishana ili kulinda uhalifu na uovu mkubwa kwa kiwango hiki kwenye taasisi kubwa kama CHADEMA.

Nimemsikiliza Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu anasema endapo atashinda na kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa basi atafutilia mbali utaratibu wa mtu mmoja kupita peke yake kwa wadau ili kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha na kuendeshea shughuli mbalimbali za chama utaratibu ambao umedumu kwa kipindi Cha zaidi ya Miaka 20 sasa.

Kwa lugha nyepesi huenda ama ni kweli Freeman Mbowe ni mnufaika mkubwa wa fedha za CHADEMA kuliko hata CHADEMA yenyewe kwa miaka hii 20 aliyokaa madarakani,

Najaribu kuwaza ni kiasi gani Cha fedha Mwenyekiti Freeman Mbowe amejizolea toka kwa wapenzi, Wafuasi, wanachama na Viongozi wa CHADEMA wasiotaka kujulikana kwa majina ila tu kwa Mwenyekiti wa Chama Freeman Mbowe kwa kipindi chote hiki Cha miaka 20.

Najiuliza zaidi ni jambo gani lililomfanya Mwenyekiti Freeman Mbowe asitumie kabisa akaunti ya CHADEMA kwa sharti la wadau hao wa CHADEMA kutoandika majina yao rasmi ( watumie fictious names ) kwa lengo la kukuza usiri na kuepa mkono wa CCM na dola.

Mwanafalsafa mmoja wa Kigiriki aliwahi kusema " Yeyote unayemwona mbele yako jua kuwa mtu huyo ni mwizi kwa asili" baada ya falsafa hii ya kila binadamu ni mwizi kwa asili ndio maana utaona leo kila sehemu ya pesa lazima ihusishe watu zaidi ya wawili au wawili mfano hata Password ni mtu wa pili,

Kwa dhana hii ya kila mtu ni mwizi kwa asili, Je falsafa hii haitamuhusu Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa kipindi hiki chote cha zaidi ya miaka 20? Ninani anajua Mwenyekiti huyu kakusanya kiasi gani Cha fedha za wadau hata sasa? Je, hao wadau wataendelea kumwamini Mwenyekiti Freeman Mbowe hata baada ya Uchaguzi huu?

Nahitimisha hivi, kama kweli Mwenyekiti Freeman Mbowe amekuwa akifanya haya kwa miaka yote 20 ya uongozi wake basi Freeman Mbowe ndio Mtanzania pekee aliyejikusanyia pesa nyingi zaidi za Watanzania kwa mgongo wa kuzipeleka CHADEMA na huenda Sasa Uenyekiti wake ukawa wa faida zaidi hata ya Urais wa nchi na madhara yake huenda ikawa ni ngumu zaidi kumwondoa kwenye nafasi hii hasa baada ya kujitengezea Wafuasi binafsi na Vibaraka kwa kutumia michango hiyo ya siri ya Wafuasi, wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ambayo haitozwi Kodi, haikaguliwi na CAG wala haijulikani kwa mtu yeyote ila yeye.

Na kwa ujumla wake nimepata na tumepata majiibu ya kwanini Mwenyekiti Freeman Mbowe pamoja na mateso na manyanyaso mengi toka kwa dola na Serikali lakini bado Mwenyekiti huyu anaifurahia nafasi yake hiyo kwa miaka zaidi ya 20.
Huu ni uhalifu wa kiwango Cha Juu sana CHADEMA wampumzishe vinginevyo wasichangiwe tena
 
Kuna mambo tunaweza kubishana pengine ili kulinda itikadi au falsafa zetu ila kamwe hatuwezi kubishana ili kulinda uhalifu na uovu mkubwa kwa kiwango hiki kwenye taasisi kubwa kama CHADEMA.

Nimemsikiliza Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu anasema endapo atashinda na kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa basi atafutilia mbali utaratibu wa mtu mmoja kupita peke yake kwa wadau ili kukusanya fedha kwaajili ya kuendesha na kuendeshea shughuli mbalimbali za chama utaratibu ambao umedumu kwa kipindi Cha zaidi ya Miaka 20 sasa.

Kwa lugha nyepesi huenda ama ni kweli Freeman Mbowe ni mnufaika mkubwa wa fedha za CHADEMA kuliko hata CHADEMA yenyewe kwa miaka hii 20 aliyokaa madarakani,

Najaribu kuwaza ni kiasi gani Cha fedha Mwenyekiti Freeman Mbowe amejizolea toka kwa wapenzi, Wafuasi, wanachama na Viongozi wa CHADEMA wasiotaka kujulikana kwa majina ila tu kwa Mwenyekiti wa Chama Freeman Mbowe kwa kipindi chote hiki Cha miaka 20.

Najiuliza zaidi ni jambo gani lililomfanya Mwenyekiti Freeman Mbowe asitumie kabisa akaunti ya CHADEMA kwa sharti la wadau hao wa CHADEMA kutoandika majina yao rasmi ( watumie fictious names ) kwa lengo la kukuza usiri na kuepa mkono wa CCM na dola.

Mwanafalsafa mmoja wa Kigiriki aliwahi kusema " Yeyote unayemwona mbele yako jua kuwa mtu huyo ni mwizi kwa asili" baada ya falsafa hii ya kila binadamu ni mwizi kwa asili ndio maana utaona leo kila sehemu ya pesa lazima ihusishe watu zaidi ya wawili au wawili mfano hata Password ni mtu wa pili,

Kwa dhana hii ya kila mtu ni mwizi kwa asili, Je falsafa hii haitamuhusu Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa kipindi hiki chote cha zaidi ya miaka 20? Ninani anajua Mwenyekiti huyu kakusanya kiasi gani Cha fedha za wadau hata sasa? Je, hao wadau wataendelea kumwamini Mwenyekiti Freeman Mbowe hata baada ya Uchaguzi huu?

Nahitimisha hivi, kama kweli Mwenyekiti Freeman Mbowe amekuwa akifanya haya kwa miaka yote 20 ya uongozi wake basi Freeman Mbowe ndio Mtanzania pekee aliyejikusanyia pesa nyingi zaidi za Watanzania kwa mgongo wa kuzipeleka CHADEMA na huenda Sasa Uenyekiti wake ukawa wa faida zaidi hata ya Urais wa nchi na madhara yake huenda ikawa ni ngumu zaidi kumwondoa kwenye nafasi hii hasa baada ya kujitengezea Wafuasi binafsi na Vibaraka kwa kutumia michango hiyo ya siri ya Wafuasi, wapenzi na Wanachama wa CHADEMA ambayo haitozwi Kodi, haikaguliwi na CAG wala haijulikani kwa mtu yeyote ila yeye.

Na kwa ujumla wake nimepata na tumepata majiibu ya kwanini Mwenyekiti Freeman Mbowe pamoja na mateso na manyanyaso mengi toka kwa dola na Serikali lakini bado Mwenyekiti huyu anaifurahia nafasi yake hiyo kwa miaka zaidi ya 20.
Yeye ni mlamba asali mahiri/mjanja wa upekee binafsi.
 
Huwezi kuandika process za kitaalamu kutoka kichwani kwako.

CDM na Tanzania kwa ujumla taasisi zote za vyama vya siasa na serikali; taratibu zao za ukaguzi wa accounting (ni internal auditing) na CAG.

Kama CAG miaka yote hakuona shida na mfumo wa CDM (maana yake ni legal) uwezi shinda kesi. System ya kulinda finance za CDM ni jukumu la accountants wao.

Taasisi chache sana Tanzania (tena za zenye guaranteed debts za serikali) ndio zimeajiri private auditors na firms zenyewe ni zilezile big four accounting firms za dunia.

Na ukisoma report zao hao auditing firm zipo kulinda contract zao, kushinda kukupa picha halisi if they can get away with it.

Juzi China wame fine PwC $62 million dollars na kuwafungia kazi miezi sita ndani ya China kwa kutofanya ukaguzi thabiti wa hesabu za Evergreen (kampuni ya ujenzi sawa na NHC Tanzania) kuwasaidia kuficha hesabu cooking of the books ili waonekane wapo vizuri ilihali walikuwa na miradi luluki ya hasara kushinda madeni yao.

Sisi wengine tunaweza soma hizo report za mashirika pamoja na upishi wao ukawaambia serikali hapa hamna kitu hiyo report imepikwa na kweli shirika likapata hasara, serikali ikachukua madeni, kuwapa ruzuku na CEO aliesababisha hiyo hasara akatunukiwa nafasi nyingine ya ushauri wa biashara serikalini.

The nonsense hawa ndio wenye external auditors. sasa sijui Lissu ana challenge vipi taratibu za CDM bila ya mapungufu yaliyoonyeshwa na CAG huku CDM aina external auditors wengine.

Ni mtu wa kukurupuka vita inataka kujipanga kwanza (tactics).
 
Za ndani zinasema mbowe kasema kama tundu lisu atakuwa mwenyekiti CHADEMA watafute ofisi lile jengo mikocheni ni Mali yake na magari yote ni Mali yake haaa haaa
 
Za ndani zinasema mbowe kasema kama tundu lisu atakuwa mwenyekiti CHADEMA watafute ofisi lile jengo mikocheni ni Mali yake na magari yote ni Mali yake haaa haaa
Nasikia kasema pia jina la chadema ni mali yake,hivyo watafute jina lingine la chama.
 
Kwani imekuwaje tena mbona kamatunavuana nguo hadharani. Hatuwezi kuongea pembeni kama mliyajuwa haya kwanini hamkutuambia. Aundiyo kampeni zimeanza kweli chizi kalogwa tena.
Tunamtaka tundu Lisu chama kimepoteza mvuto, mbowe apiga sana back pass tumechoka tunaitaji shambulizi kama enzi za katibu Dr slaa
 
Nasikia kasema pia jina la chadema ni mali yake,hivyo watafute jina lingine la chama.
Yani kumekucha kwanza kakasirika sana Lisu kutangaza nia anajuta kwanini Walihama ufipa, siye wazalendo tunaomba Tundu lisu apewe ulinzi
 
Tapeli wewe na UWT wenzako anza na Mwenyekiti wa CCM inayopokea ruzuku 3B per month, fedha za umma anazogawa kwenye mpira na makanisani zipo kwenye fungu gani? ni mkwepa kodi mshahara wake haukatwi kodi
 
Back
Top Bottom