Mabere Nyaucho Marando ndiye Mwanachama mwenye kadi namba moja ya NCCR Mageuzi,alizaliwa takribani miaka Sabini iliyopita huko Mkoani Mara
Nguli huyu wa sheria ni miongoni mwa waasisi wa siasa za mageuzi hapa nchini akiwa na wenzako akina Bagenda, Ole Sirikwa,Komu, n.k
Huyu Mbabe wa siasa za upinzani alihamia chadema akawa kiongozi kule baada ya kuvurugana kwenye NCCR Mageuzi,Mwanasiasa huyu hajaonekana hadharani kwa muda mrefu, yuko wapi ?
Mhe. Mbatia kuna dalili kuwa nyumbani kumenoga msaidie nguli huyu arejee apewe heshima yake kama akina Emmanuel Ole Sirikwa na wengine
NCCR Mageuzi kumenoga
Nguli huyu wa sheria ni miongoni mwa waasisi wa siasa za mageuzi hapa nchini akiwa na wenzako akina Bagenda, Ole Sirikwa,Komu, n.k
Huyu Mbabe wa siasa za upinzani alihamia chadema akawa kiongozi kule baada ya kuvurugana kwenye NCCR Mageuzi,Mwanasiasa huyu hajaonekana hadharani kwa muda mrefu, yuko wapi ?
Mhe. Mbatia kuna dalili kuwa nyumbani kumenoga msaidie nguli huyu arejee apewe heshima yake kama akina Emmanuel Ole Sirikwa na wengine
NCCR Mageuzi kumenoga