Mwenyekiti James Mbatia msaidie Mwanachama wako mwenye kadi namba moja Mabere Marando arudi nyumbani huko ugenini anapata tabu

Mwenyekiti James Mbatia msaidie Mwanachama wako mwenye kadi namba moja Mabere Marando arudi nyumbani huko ugenini anapata tabu

Salam dm

Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
75
Reaction score
77
Mabere Nyaucho Marando ndiye Mwanachama mwenye kadi namba moja ya NCCR Mageuzi,alizaliwa takribani miaka Sabini iliyopita huko Mkoani Mara

Nguli huyu wa sheria ni miongoni mwa waasisi wa siasa za mageuzi hapa nchini akiwa na wenzako akina Bagenda, Ole Sirikwa,Komu, n.k

Huyu Mbabe wa siasa za upinzani alihamia chadema akawa kiongozi kule baada ya kuvurugana kwenye NCCR Mageuzi,Mwanasiasa huyu hajaonekana hadharani kwa muda mrefu, yuko wapi ?

Mhe. Mbatia kuna dalili kuwa nyumbani kumenoga msaidie nguli huyu arejee apewe heshima yake kama akina Emmanuel Ole Sirikwa na wengine

NCCR Mageuzi kumenoga
 
Mabere Marando hawezi kukubali kwenda kwenye kikundi kilichokodiwa na CCM kuvuruga upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mentality ya kuamini kwamba mtu akiwa na siasa za kistaarabu na zenye kutanguliza maslahi ya Taifa anasingiziwa kuwa ni CCM siyo sawa kabisa

Siasa za harakati na uchonganishi wa Taifa letu dhidi Mataifa makubwa hazitatusaidia

NCCR Mageuzi ikirejea kuwa kiongozi wa Mageuzi nchi yetu itafaidika zaidi kuliko ilivyo sasa
 
Hii mentality ya kuamini kwamba mtu akiwa na siasa za kistaarabu na zenye kutanguliza maslahi ya Taifa anasingiziwa kuwa ni CCM siyo sawa kabisa

Siasa za harakati na uchonganishi wa Taifa letu dhidi Mataifa makubwa hazitatusaidia

NCCR Mageuzi ikirejea kuwa kiongozi wa Mageuzi nchi yetu itafaidika zaidi kuliko ilivyo sasa
Ila iwe isiwe mbatia hawezi toboa tena ,msemo Mr sugu
 
Hii mentality ya kuamini kwamba mtu akiwa na siasa za kistaarabu na zenye kutanguliza maslahi ya Taifa anasingiziwa kuwa ni CCM siyo sawa kabisa

Siasa za harakati na uchonganishi wa Taifa letu dhidi Mataifa makubwa hazitatusaidia

NCCR Mageuzi ikirejea kuwa kiongozi wa Mageuzi nchi yetu itafaidika zaidi kuliko ilivyo sasa
Chadema haiwezi kuuwawa kwa mbinu za kijinga hivyo hata mkipiga marufuku vyama vingi leo itakuwa ni pause ya muda mfupi tu

Hatimae peoples power itaingia hadi Ikulu
 
Mabere Marando ametelekezwa na makamanda

Nashauri na tundu lissu arudi kwenye chama chake cha Nccr mageuzi

Aachane na kile ki sacos

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Kumbe ukimuacha Mbowe wengine wote wa kuja Chadema? Lissu, Lema, Msigwa, Lwakatare, Komu, Selasini, Kubenea, Nyalandu, Marando, Prof. Baregu nk. Ndio maana haachi uwenyekiti? Hapo sasa naelewa!!!
 
Duh! Kumbe ukimuacha Mbowe wengine wote wa kuja Chadema? Lissu, Lema, Msigwa, Lwakatare, Komu, Selasini, Kubenea, Nyalandu, Marando, Prof. Baregu nk. Ndio maana haachi uwenyekiti? Hapo sasa naelewa!!!
Chadema ilivutia viongozi wengi sana makini kwa haya yanayotokea sasa nadhani kuna la kujifunza
 
Mabere akitaka akae akitaka aende yote sawa tu Chadema kiko imara sana mwaka huu bila ujambazi wa ccm basi Raisi shujaa ambaye hawezi kulikimbia Taifa kipindi cha Corona Tundu Antipass Lissu ataapishwa
 
Mwacheni mzee wetu apumzike; Mungu akimjalia afya njema mtamshudia kwenye siasa. Kwasasa inatosha bado afya haijawa vizuri.
 
Back
Top Bottom