Mwenyekiti James Mbatia msaidie Mwanachama wako mwenye kadi namba moja Mabere Marando arudi nyumbani huko ugenini anapata tabu

Wito wa Mhe. Rais kuhusu maombi ni too philosophical huwezi kumweleweka unapopinga tu kwa maana ya Pinga pinga

Twende mbele turudi nyuma wew ulitaka tuwe na case ngapi za COVID 19 ndo uridhike ?
 
MTU mwenye akili hawezi kujiunga na kikundi cha wahuni
 
Nccr ni CCM B hata Lyatonga kasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Nyie mlishindwa kuacha uzinzi kisa ukimwi, sisi ndiyo tuache bia kisa korona?😅😅

It's a joke... niliikuta mahali, nikacheka tu.

sorry🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…