Mwenyekiti James Mbatia msaidie Mwanachama wako mwenye kadi namba moja Mabere Marando arudi nyumbani huko ugenini anapata tabu

Du pole sana
 
Noted
 
CHADEMA na sera ya KUTELEKEZA

MABERE MARANDO

ALPHONCE MAWAZO ( ambaye waliahidi kumtunza mjane pamoja na kumsomesha mtoto)

wapo watu wa kuwaamini , na wapo watu nikuwasikiliza wakiwa jukwaani na kuyaacha yote pale wanaposhuka jukwaani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…