Mwenyekiti kamati ya ushindi taifa stars hakutakiwa kuwa makonda

Mwenyekiti kamati ya ushindi taifa stars hakutakiwa kuwa makonda

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Mh waziri ndie anaestahili wengine walitakiwa kuwa wajumbe tu..
Kila kitu makonda yeye ni nani? Nashangaa kamati yote imejaa mashabiki tu wasema hovyo na watu wa skendo.
Ushindi wa Taifa stars haupatikani kwa kuwasema hovyo.

Uganda,kumbuka ile ni nchi wanabalozi hapa,kuna watu km manara ni waropokaji...mtajenga mpira huku unabomoa mahusiano ya kisiasa na uganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh waziri ndie anaestahili wengine walitakiwa kuwa wajumbe tu..
Kila kitu makonda yeye ni nani? Nashangaa kamati yote imejaa mashabiki tu wasema hovyo na watu wa skendo.
Ushindi wa Taifa stars haupatikani kwa kuwasema hovyo.

Uganda,kumbuka ile ni nchi wanabalozi hapa,kuna watu km manara ni waropokaji...mtajenga mpira huku unabomoa mahusiano ya kisiasa na uganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa kipinga mmeanza kupinga!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh waziri ndie anaestahili wengine walitakiwa kuwa wajumbe tu..
Kila kitu makonda yeye ni nani? Nashangaa kamati yote imejaa mashabiki tu wasema hovyo na watu wa skendo.
Ushindi wa Taifa stars haupatikani kwa kuwasema hovyo.

Uganda,kumbuka ile ni nchi wanabalozi hapa,kuna watu km manara ni waropokaji...mtajenga mpira huku unabomoa mahusiano ya kisiasa na uganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
OK next time tutamshinikiza Magufuli awe Mwenyekiti wa kamati ya ushindi.
 
Taja hivyo vitu alivyorundikiwa Mh. Makonda, usiandike bila takwimu. Hiyo kazi kakabidhiwa kwa sababu maalum, tulia, subiria kushangilia timu ya Taifa lako
Mh waziri ndie anaestahili wengine walitakiwa kuwa wajumbe tu..
Kila kitu makonda yeye ni nani? Nashangaa kamati yote imejaa mashabiki tu wasema hovyo na watu wa skendo.
Ushindi wa Taifa stars haupatikani kwa kuwasema hovyo.

Uganda,kumbuka ile ni nchi wanabalozi hapa,kuna watu km manara ni waropokaji...mtajenga mpira huku unabomoa mahusiano ya kisiasa na uganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh waziri ndie anaestahili wengine walitakiwa kuwa wajumbe tu..
Kila kitu makonda yeye ni nani? Nashangaa kamati yote imejaa mashabiki tu wasema hovyo na watu wa skendo.
Ushindi wa Taifa stars haupatikani kwa kuwasema hovyo.

Uganda,kumbuka ile ni nchi wanabalozi hapa,kuna watu km manara ni waropokaji...mtajenga mpira huku unabomoa mahusiano ya kisiasa na uganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bashite wamemsukumizia Tu huko!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom