Atafanikisha zoezi la kuwapima tezi dume we subiri
Chini ya makonda, Uganda Cranes wakiifunga Taifa Stars basi wachezaji wote wa Uganda watatekwa na majasusi "wasiojulikana"
Ana misheni ya tezi dume,imefeli
Halafu mwnyw anajinasibu kuwa hajawahi anzisha jambo likafeli!!!Watu wanasema makonda hajawahi fanikiwa kwenye jambo lolote,ngoja tuone ya taifa stars sasa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app