Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa tarehe 05 Julai, 2024 Ofisi Ndogo za Makao Makuu Upanga Jijini Dar es salaam.
#TunaendeleaNaMama
#Kaziiendelee
Imetolewa na;
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.
#TunaendeleaNaMama
#Kaziiendelee
Imetolewa na;
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.