Mwenyekiti Kawaida aongoza Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu UVCCM Taifa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa tarehe 05 Julai, 2024 Ofisi Ndogo za Makao Makuu Upanga Jijini Dar es salaam.

#TunaendeleaNaMama
#Kaziiendelee

Imetolewa na;
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…