Pre GE2025 Mwenyekiti Mbalizi Mbeya DC Bi. Getruda Japhet Lengesela - CHADEMA tupo vizuri, CCM imekufa

Pre GE2025 Mwenyekiti Mbalizi Mbeya DC Bi. Getruda Japhet Lengesela - CHADEMA tupo vizuri, CCM imekufa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869

MWENYEKITI CHADEMA MBEYA DC AWAKUMBUSHA WANAKYELA JINI MAGUFULI ALIVYODHIHIRISHA KUWA CCM IMEKUFA


Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mbeya vijijini Getruda Japhet Lengesela


Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kyela, Mbeya.

John Pombe Magufuli alidhihirisha CCM ilikufa kitambo, leo tunasimama jukwaa kuna watu walipita bila kupingwa huu ni mfano tosha kuwa CCM ilikuwa haipo hivyo ika force kuingia madarakani kwa kuvuruga uchaguzi kwani CCM ilikuwa imebaki ruhani....
 
Ccm imekufa au siyo 😂 haya kilio chenu cha kila uchaguzi tusikisikie 2025
 
Back
Top Bottom