Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti Mteule wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo, Severin Mushi ameahidi kuhakikisha anatatua changamoto za wafanyabiashara hao akishirikiana nao pamoja na serikali jambo litakalosaidia kuondoa kabisa migomo ambayo imekuwa ikitokea.
Mushi ameyasema hayo leo Disemba 11,alipokuwa akitoa shukrani zake kwa wafanyabiashara hao kwa kumchagua ili kuongoza kwa kipindi cha miaka mitatu ambapo amehimiza kuwajibika kwa ambao anaowaongoza ili kutimiza malengo ya jamii hiyo ambayo ina mchango mkubwa kwa mapato nchini.
Mushi ameyasema hayo leo Disemba 11,alipokuwa akitoa shukrani zake kwa wafanyabiashara hao kwa kumchagua ili kuongoza kwa kipindi cha miaka mitatu ambapo amehimiza kuwajibika kwa ambao anaowaongoza ili kutimiza malengo ya jamii hiyo ambayo ina mchango mkubwa kwa mapato nchini.