Mwenyekiti taifa kumuachia kiti makamu mwenyekiti taifa

Mwenyekiti taifa kumuachia kiti makamu mwenyekiti taifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kama kuna mistake ambayo kama mwenyekiti wa chama hawezi kuifanya,

Kwa mfano, wa chama cha demokrasia na maendeleo, chadema, ngazi ya taifa ni kwamba, kamwe haitatokea, wala hata thubutu kuifanya akiwa kiongozi mwenye dhamana na mamlaka Chadema, kwamba eti aachie uenyekiti wa chama mikononi mwa intruder yeyote yule, kwa mfano makamu mwenyekiti wa sasa...

That one will never happen with my dead body. hatafanya hivyo, atazuia hilo lisitokee akiwa ndani au nje ya chama chake.

Atakabidhi chama kwa mawanachama mwingine asie na chembe ya mashaka juu ya uzalendo na utii kwa mamlaka za chama na viongozi waandamizi, wanachama na chama kwa ujumla....

Hata hivyo, ukimtazama tu facial expressions yake, body language yake na tone yake ya kimamlaka, yule chairman ni mtu wa kutishwa tishwa kweli au ni mtua wa kumuachia uenyekiti mtu mwingine hivi karibuni kweli?🐒

Hiyo si ndoto ya mchana my friend, kwamba eti kuna muungwana mahali anafikiria na anatarajia hilo kutokea 🐒
 
Kwa akili yako unaona lisu sio mzalendo?? Unadhani kuna mwanasiasa ameipa changamoto lisu serikali tokea enzi za mkapa mpaka sasa kama lisu? Sidhani kama kuna die harder wa chadema kama lisu...maana akitaka hela yoyote awauze chadema angepewa..ni mtu ambaye amamekwepa rushwa nyingi sana za vyeo na hela ili aendelee kuwa chadema....ni vile watu hawajui wanasiasa maarufu wa upinzani wanalambishwa asali sana ila ndo hivyo wanaamua kuchomoa au kuomba kusubiri mdaaaa...
 
Kwa akili yako unaona lisu sio mzalendo?? Unadhani kuna mwanasiasa ameipa changamoto lisu serikali tokea enzi za mkapa mpaka sasa kama lisu? Sidhani kama kuna die harder wa chadema kama lisu...maana akitaka hela yoyote awauze chadema angepewa..ni mtu ambaye amamekwepa rushwa nyingi sana za vyeo na hela ili aendelee kuwa chadema....ni vile watu hawajui wanasiasa maarufu wa upinzani wanalambishwa asali sana ila ndo hivyo wanaamua kuchomoa au kuomba kusubiri mdaaaa...
ni mzalendo lakini :WeSmart:
 
Yaani CHADEMA ikabidhiwe kwa mtu anayemdhalilisha mwenyekiti kuwa anapokea hongo bila ushahidi usioacha shaka!! Usimame jukwaani utukane mwenyekiti alafu tukupe chama pambafuuu labda sio chama hiki.
Huo ujinga asahau/wasahhau Bora chama kipoteze umaarufu tutakipaisha Tena!!
hata angekuwa maarufu kiasi gani! Hata akaloge huko singida kwao vipi hatuwezi tukampa chama mtu asiye na ustaarabu. Aanzidhe chama chake Cha watukutu waropokaji WAHUNI waliozeeka wazee wa matusi wasiostaarabika
 
"kwamfano"

Wapi ndio halisi na sio mfano linaenda kutokea hilo!?

Huku kwetu!?
kwenye maeneo na katika vyama vingine vya kisiasa, hii sio issue sana, kwasababu mabadilishano ya uongozo ni halisi lakini pia ni kawaida tu, ispokua kwenye mfano wangu ni jambo la kipekee sana na la kuvutia kwa wataalamu wa kisiasa kuvutika na kulifiatilia kwa karibu sana jambo hili, for the record and reference na kutoa tathmini ya hali halisi ionekanavyo kwa sasa:pulpTRAVOLTA:
 
Yaani CHADEMA ikabidhiwe kwa mtu anayemdhalilisha mwenyekiti kuwa anapokea hongo bila ushahidi usioacha shaka!! Usimame jukwaani utukane mwenyekiti alafu tukupe chama pambafuuu labda sio chama hiki.
Huo ujinga asahau/wasahhau Bora chama kipoteze umaarufu tutakipaisha Tena!!
hata angekuwa maarufu kiasi gani! Hata akaloge huko singida kwao vipi hatuwezi tukampa chama mtu asiye na ustaarabu. Aanzidhe chama chake Cha watukutu waropokaji WAHUNI waliozeeka wazee wa matusi wasiostaarabika
Ila akili za Maccm,ni lini Mwenyekiti alitukanwa na Lissu.
Tutoleeni upumbavu hapa.
 
Yaani CHADEMA ikabidhiwe kwa mtu anayemdhalilisha mwenyekiti kuwa anapokea hongo bila ushahidi usioacha shaka!! Usimame jukwaani utukane mwenyekiti alafu tukupe chama pambafuuu labda sio chama hiki.
Huo ujinga asahau/wasahhau Bora chama kipoteze umaarufu tutakipaisha Tena!!
hata angekuwa maarufu kiasi gani! Hata akaloge huko singida kwao vipi hatuwezi tukampa chama mtu asiye na ustaarabu. Aanzidhe chama chake Cha watukutu waropokaji WAHUNI waliozeeka wazee wa matusi wasiostaarabika
umezungimza jambo kubwa na la maana sana aise,

there is no way uonyeshe lack of loyalty, Indiscipline character kwa kiongozi mkuu wako, uonyeshe signs of boycott, deconstructive criticism zenye uelekeo wa kuchochea divisions ndani ya chama, halafu ati at the end unae mzodoa hadharani akuachie wewe nafasi ya kiti chake ukalie na yeye anag"atuke:pulpTRAVOLTA:

for sure ni afadhali akatafute palatfom nyingine ya kisiasa ikiwa hataridhika na uongozi wa mwenyekiti wa sasa wa chama chake kurefushwa kwa awamu nyingine zaidi.....

lakini kwakweli hatapata fursa hiyo kabisa kwasasa na hata wakati ujao na wakati mwingine wowote, kwa maoni yangu kisiasa:pulpTRAVOLTA:
 
umezungimza jambo kubwa na la maana sana aise,

there is no way uonyeshe lack of loyalty, Indiscipline character kwa kiongozi mkuu wako, uonyeshe signs of boycott, deconstructive criticism zenye uelekeo wa kuchochea divisions ndani ya chama, halafu ati at the end unae mzodoa hadharani akuachie wewe nafasi ya kiti chake ukalie na yeye anag"atuke:pulpTRAVOLTA:

for sure ni afadhali akatafute palatfom nyingine ya kisiasa ikiwa hataridhika na uongozi wa mwenyekiti wa sasa wa chama chake kurefushwa kwa awamu nyingine zaidi.....

lakini kwakweli hatapata fursa hiyo kabisa kwasasa na hata wakati ujao na wakati mwingine wowote, kwa maoni yangu kisiasa:pulpTRAVOLTA:
Sawa John Mrema , msemaji mtiifu wa Chadema .
 
Ila akili za Maccm,ni lini Mwenyekiti alitukanwa na Lissu.
Tutoleeni upumbavu hapa.
kua muungwaba tu, mihemko si jamano la maana sana kwenye mjadala huu muhimu, huru na wa wazi sana...

eleza tu kwamba labda muungwana hakutukana, bali alisema hivi na au vile akimaanisha hivi, basi ukaeleweka na mamabo yakaisha na kusonga na point byingine:BASED:
 
Back
Top Bottom