Pre GE2025 Mwenyekiti Uchaguzi CHADEMA: Wajumbe wasiruhusiwe kuwa na simu wakipiga kura, kura ikiwa na alama isihesabiwe

Pre GE2025 Mwenyekiti Uchaguzi CHADEMA: Wajumbe wasiruhusiwe kuwa na simu wakipiga kura, kura ikiwa na alama isihesabiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana.

Mwenyekiti wa Uchaguzi CHADEMA Frank Mwakajoka amesema amepokea kikaratasi chenye ujumbe kilichokuwa na mapendekezo ili kunyoosha zoezi la uchaguzi liende vizuri.

Pia soma: Pre GE2025 - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Ambapo amegusia suala la watu kupiga kura huku wakipiga picha karatasi kama ushahidi, ambapo ametoa pendekezo la wajumbe kutokuwa na simu (kuziacha pembeni au kuwe na sehemu za kuweka) wakati wakienda kupiga kura ili kuzuia kupiga picha kura zao.

Pia ameongeza kura yoyote itakayokuwa na alama ya maandishi ama alama yoyote ile kura hiyo iwe imeharibika.

Mnyika amesema acha wagombea wajinadi halafu ukifika wakati wa kupiga kura hili litaamuliwa.

Je, itakuwa hivyo au ndio itabrashiwa wajumbe wafanye yao?

 
Wakuu,

Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana.

Mwenyekiti wa Mkutano CHADEMA ametoa pendekezo la wajumbe kutokuwa na simu wakati wakienda kupiga kura ili kuzua kupiga picha kura zao.

Pia ameongeza kura yoyote itakayokuwa na alama isihesabiwe
Eboo! Huko nako uchafuzi ulitaka kufanyika 👀
 
Wakuu,

Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana.

Mwenyekiti wa Uchaguzi CHADEMA amesema amepokea kikaratasi chenye ujumbe kilichokuwa na mapendekezo ili kunyoosha zoezi la uchaguzi liende vizuri.

Ambapo amegusia suala la watu kupiga kura huku wakipiga picha karatasi kama ushahidi, ambapo ametoa pendekezo la wajumbe kutokuwa na simu (kuziacha pembeni au kuwe na sehemu za kuweka) wakati wakienda kupiga kura ili kuzuia kupiga picha kura zao.

Pia ameongeza kura yoyote itakayokuwa na alama ya maandishi ama alama yoyote ile kura hiyo iwe imeharibika.
Ni tahadhari tu. Haina ubaya wowote.

Amandla...
 
Ila hiyo ya kuweka alama sijui itakuwaje. Ni kwamba wapiga kura wanaondoka na kura yao ili wakathibitishe kuwa walimpigia Mbowe? Au zitakusanywa na kila mgombea atakabidhiwa kura zake? Haya mambo mengine kwa kweli yanasikitisha.

Amandla...
 
Televisheni za Tanzania zinatukosea sana aisee.
Pamoja na ukubwa wa hili tukio la leo hakuna hata kituo kimoja cha televisheni ambacho kinarusha hili tukio.
Hii nchi ni nchi ya ovyo sana.
 
Tahadhari iliyogusa kwenye mshono😂😂 Mkuu unajifanya hujasikia kuhusu kuweka alama kwenye kura🌚🌚
Na akisha weka alama anaondoka na kura yake kwenda kumuonyesha mshika fedha wa Mbowe? Au kura zikishapigwa, kila mgombea atakabidhiwa kura zake? Naomba nielimishe hiyo alama itatumika vipi ?

Amandla...
 
Televisheni za Tanzania zinatukosea sana aisee.
Pamoja na ukubwa wa hili tukio la leo hakuna hata kituo kimoja cha televisheni ambacho kinarusha hili tukio.
Hii nchi ni nchi ya ovyo sana.
mkono mtupu haulambwi, sio media hata wasanii pia alafu kitu ambacho unatakiwa kujua ni kwamba ukiwa na nafasi utapendwa.
 
Televisheni za Tanzania zinatukosea sana aisee.
Pamoja na ukubwa wa hili tukio la leo hakuna hata kituo kimoja cha televisheni ambacho kinarusha hili tukio.
Hii nchi ni nchi ya ovyo sana.
Mkuu, are you serious kuwa hili tukio halioneshwi na Kituo chochote cha Luninga...?

Nilikuwa namuuliza mwanangu hapa TV gani wanaonesha akasema sijui...!
 
Televisheni za Tanzania zinatukosea sana aisee.
Pamoja na ukubwa wa hili tukio la leo hakuna hata kituo kimoja cha televisheni ambacho kinarusha hili tukio.
Hii nchi ni nchi ya ovyo sana.
Crown wanaonesha mkuu.
 
Televisheni za Tanzania zinatukosea sana aisee.
Pamoja na ukubwa wa hili tukio la leo hakuna hata kituo kimoja cha televisheni ambacho kinarusha hili tukio.
Hii nchi ni nchi ya ovyo sana.
Ukubwa huo kwa kina nani?!!!! Nchi Ina mambo ya ,singi zaidi ya kuishughulikia kuliko kuonyesha huo mkutano wa saccos
 
Wakuu,

Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana.

Mwenyekiti wa Uchaguzi CHADEMA Frank Mwakajoka amesema amepokea kikaratasi chenye ujumbe kilichokuwa na mapendekezo ili kunyoosha zoezi la uchaguzi liende vizuri.

Ambapo amegusia suala la watu kupiga kura huku wakipiga picha karatasi kama ushahidi, ambapo ametoa pendekezo la wajumbe kutokuwa na simu (kuziacha pembeni au kuwe na sehemu za kuweka) wakati wakienda kupiga kura ili kuzuia kupiga picha kura zao.

Pia ameongeza kura yoyote itakayokuwa na alama ya maandishi ama alama yoyote ile kura hiyo iwe imeharibika.

Mnyika amesema acha wagombea wajinadi halafu ukifika wakati wa kupiga kura hili litaamuliwa.

Je, itakuwa hivyo au ndio itabrashiwa wajumbe wafanye yao?

Simu inaharibu vipi uchaguzi????
 
Wakuu,

Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana.

Mwenyekiti wa Uchaguzi CHADEMA Frank Mwakajoka amesema amepokea kikaratasi chenye ujumbe kilichokuwa na mapendekezo ili kunyoosha zoezi la uchaguzi liende vizuri.

Ambapo amegusia suala la watu kupiga kura huku wakipiga picha karatasi kama ushahidi, ambapo ametoa pendekezo la wajumbe kutokuwa na simu (kuziacha pembeni au kuwe na sehemu za kuweka) wakati wakienda kupiga kura ili kuzuia kupiga picha kura zao.

Pia ameongeza kura yoyote itakayokuwa na alama ya maandishi ama alama yoyote ile kura hiyo iwe imeharibika.

Mnyika amesema acha wagombea wajinadi halafu ukifika wakati wa kupiga kura hili litaamuliwa.

Je, itakuwa hivyo au ndio itabrashiwa wajumbe wafanye yao?


Zoezi linaendelea, wajumbe wanapiga kura muda huu live


View: https://m.youtube.com/watch?v=VnTdUmobPig
 
Wakuu,

Kumbe suala la kuweka alama lilikuwa kweli bwana.

Mwenyekiti wa Uchaguzi CHADEMA Frank Mwakajoka amesema amepokea kikaratasi chenye ujumbe kilichokuwa na mapendekezo ili kunyoosha zoezi la uchaguzi liende vizuri.

Ambapo amegusia suala la watu kupiga kura huku wakipiga picha karatasi kama ushahidi, ambapo ametoa pendekezo la wajumbe kutokuwa na simu (kuziacha pembeni au kuwe na sehemu za kuweka) wakati wakienda kupiga kura ili kuzuia kupiga picha kura zao.

Pia ameongeza kura yoyote itakayokuwa na alama ya maandishi ama alama yoyote ile kura hiyo iwe imeharibika.

Mnyika amesema acha wagombea wajinadi halafu ukifika wakati wa kupiga kura hili litaamuliwa.

Je, itakuwa hivyo au ndio itabrashiwa wajumbe wafanye yao?

downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom