upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wilayani Nyangh'wale Mkoani Geita wameaswa kutojiusisha na Vitendo vinavyoweza kupelekea kuvunja amani sambamba na kutojihusisha na Shughuli za kiuhalifu .
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM mkoa wa Geita , Manjale Magambo wakati alipofanya ziara ya wilayani humo na kugawa Reflecta huku akiwahamasisha vijana kuchangamkia fursa za Mikopo ya asilimia kumi sambamba na vijana kushiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu 2025.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM mkoa wa Geita , Manjale Magambo wakati alipofanya ziara ya wilayani humo na kugawa Reflecta huku akiwahamasisha vijana kuchangamkia fursa za Mikopo ya asilimia kumi sambamba na vijana kushiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu 2025.