Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Yaani hii sera ya No Reforms No Elections inaonekana inawatesa sana hawa CCM.
Huyu ni Mwenyekiti wa UVCCM huko Geita. Hapa alikuwa anazungumza kuhusu kaulimbiu ya CHADEMA ya No Reforms No Elections.
Lissu piga hapo hapo!
Wapinzani wanatetemeka. Ndio maana No Reforms No Election. No Reform? Tunaenda kwenye Uchaguzi. Mjiandae kwa Uchaguzi. Asiwatishe mtu
=================================================
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita umewaonya baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijipitisha katika Majimbo mbalimbali ya Mkoa wa Geita na kutoa vitisho vya kuwatisha vijana kutoshiriki katika kugombea nafasi mbalimbali kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 kuacha mara moja.
Source: Kitenge TV
Yaani hii sera ya No Reforms No Elections inaonekana inawatesa sana hawa CCM.
Huyu ni Mwenyekiti wa UVCCM huko Geita. Hapa alikuwa anazungumza kuhusu kaulimbiu ya CHADEMA ya No Reforms No Elections.
Lissu piga hapo hapo!
Wapinzani wanatetemeka. Ndio maana No Reforms No Election. No Reform? Tunaenda kwenye Uchaguzi. Mjiandae kwa Uchaguzi. Asiwatishe mtu
=================================================
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita umewaonya baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijipitisha katika Majimbo mbalimbali ya Mkoa wa Geita na kutoa vitisho vya kuwatisha vijana kutoshiriki katika kugombea nafasi mbalimbali kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025 kuacha mara moja.
Source: Kitenge TV