Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM Songwe: Nimeongea na viongozi vijana wa upinzani wamekataa "No Reforms No Election", waungana na Rais Samia

Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM Songwe: Nimeongea na viongozi vijana wa upinzani wamekataa "No Reforms No Election", waungana na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi @fatumamnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini wakiongozwa na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025,Katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe bi @fatumamnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
Kampeni za mwaka huu zimeanza mapema sana.
 
Huwa inadhihirisha ujinga na upumbavu wa mtu anapo claim kitu fulani bila hata kuwa na ushahidi.

Angetuwekea basi ushahidi wa hayo mazungumzo ya hao vijana wa upinzani tungemwelewa.

Anyway ccm ni janja janja na ukweli haujawahi kuwa utaratibu wao.
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
Mwaga ushahidi pasi na shaka hapa tuamue kusemewa tumechoka na tumewachoka wanaotusemea.
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
Vyeo vya kuvuliwa nguo za ndani ni shida sn,hayo mabadiliko yanashida gani kwenu?,wananchi wanawakubali na mnajiamini ushindi wa kishindo.Si mlishindwa kumuua mwaka huu kazi mnao.
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
Ccm daima samia mitano
 
Vyeo vya kuvuliwa nguo za ndani ni shida sn,hayo mabadiliko yanashida gani kwenu?,wananchi wanawakubali na mnajiamini ushindi wa kishindo.Si mlishindwa kumuua mwaka huu kazi mnao.
Acha awapitishe kwenye tanuru la moto
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
FB_IMG_1740319325353.jpg
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
🤣 🤣 🤣 🔊
 
Huyu kiazI atakuwa kaongea na mkewe ucku afu akaitisha press kesho yake asbh.
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
Aache uwendawazimu huyo mwenyekiti ni viongozi gani hao wa upinzani alioongea nao?

Halafu naona wanazidi kumsaidia lisu na chadema kuitangaza agenda ya no reforms no election,

Lisu shikilia hapohapo wanaelewa taratibu huku
 
Wakuu,

Makubwa haya! Wameenda kumnong'oneza sikioni au?

====


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa qa Songwe Bi Fatuma Mnahwate amesema ameongea na Wenyeviti wa Vijana wa Vyama vyote Vya Upinzani nchini ikiwemo kutoka ACT na BAVICHA na wamepinga kauli iliyotolewa na viongozi wao wakuu wa Chama Hicho.

Bi Fatuma amesema Viongozi hao wamesema kuwa, Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama kuna mapungufu yoyote ambayo viongozi wao wa kitaifa wameyaona kuna utaratibu maalum wa kisheria wa kuyashughulikia mapungufu hao na sio kuzuia uchaguzi usifanyike.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa tarehe 22 Februari, 2025, katika Mji wa Tunduma na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Songwe Fatuma Mnahwate wakati akitoa salamu za vijana kwenye ziara ya Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Taifa.

Ambapo alieleza kuwa, Amekuwa akiwasiliana kwa karibu na Viongozi wa vijana wa vyama vyote, ambapo wamemtuma salam hizo Ili zimfikie Mhe Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan kwani wao pia wamekiwa wakiwashangaa viongozi wao wa kitaifa.
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi, Tutafanya juu chini usifanyike.
 
Hakuna mwanaCHADEMA mzalendo atakubali kusapoti kauli ya kichochezi ya Lissu.
Kama kuna kitu watu walichokuwa wanakisubiria kwa hamu kwa mujibu wa tafiti za siku nyingi ni chadema kususia uchaguzi . Watanzania walikuwa wanasema hivi , " chadema tumewachoka Kila siku kulia Lia tu kuwa wameibiwa , si waachane na huo uchaguzi " . Hayo yalikuwa MAONI ya watanzania wengi . Ndiyo maana baada ya uchaguzi mbowe kuondoka , Kila mpenda Haki anajua kuna jambo jipya . Ccm Hadi sasa wanaicheza Ngoma ya chadema pasipo kujua . Wanaitangaza no reform no election Kila mkutano wao
 
Back
Top Bottom