Mwenyekiti UWT Taifa Mary Chatanda msibani Lindi

Mwenyekiti UWT Taifa Mary Chatanda msibani Lindi

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akiweka Shada la maua kwenye Kaburi la Marehemu Shirini S. Sharifu (mtoto wa Mbunge wa Lindi Mjini Hamida Mohammed Abdallah), tarehe 18 Machi, 2024.

IMG-20240318-WA0079.jpg
 
Pole nyingi ziwafikie wafiwa kwa kumpoteza mpendwa wao.
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akiweka Shada la maua kwenye Kaburi la Marehemu Shirini S. Sharifu (mtoto wa Mbunge wa Lindi Mjini Hamida Mohammed Abdallah), tarehe 18 Machi, 2024.

View attachment 2938354
Pole sana familia, ndugu, jamaa na marafiki...
R.I.P mpendwa
 
Back
Top Bottom