Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, John Pambalu malizana na mawakala wako huko Mwanza hasa hasa wale wa kule Buhongwa

Mleta mada ya Pambalu hayakuhusu. Fanya yako
 
Pole zao kwani hawakujua kuwa Chadema ni waongo waongo ndiyo maana Kawe Mawakala waligoma kuingia vituoni bila kupewa advance matokeo yake Malalamiko FC wakaanza kusema eti wamezuiwa kuingia vituoni wakati kumbe walikuwa hawajalipwa posho zao na Mdee.
 
Ndiyo tatizo lenu wanasaccos wenzako wanadai haki zao wewe unaleta utopolo.
 
Hawa sio ndio wale mawakala walioahidiwa malipo yao yatakua teuzi
Na wao wakaamini kabisa wangekuja kuteuliwa ukurugenzi, ukuu wa wilaya na mikoa🀣🀣🀣🀣
Ila chadema Mungu anawaona na ndio maana wakapata malipo yao tarehe 28
Hawa jamaa ni matapeli Sana,wapo kwaajili ya kujinufaisha wakati huohuo wakijaribu kujinasibisha kwa wananchi kama watetea haki. KIKUNDI kama hiki hakipaswi kuaminika kabisa.
 
Vipi haya malalamiko hujayapeleka kwa Beberu Robert Amsterdam? Kama hujafanya hivyo fanya hivyo mkuu Amsterdam ataandika barua ya malalamiko kwenda UN na Jumuia za Kimataifa kuwa huu uchaguzi haukuwa huru na haki!!! Haiwezekani Mawakala wa Saccos ya Chadema wasilipwe posho zao halafu uchaguzi uwe huru na haki!!
 
Hawa jamaa ni matapeli Sana,wapo kwaajili ya kujinufaisha wakati huohuo wakijaribu kujinasibisha kwa wananchi kama watetea haki. KIKUNDI kama hiki hakipaswi kuaminika kabisa.

Wao wamewaibia mawakala wao kula, halafu wanalalamika wameibiwa kura
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Hivi kweli hujamlipa wakala halafu unalalamika eti umeibiwa kuraπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Ukistaajabu ya Tundu utayaona ya mawakala
 
Nikifikiria kwa kina naona kama kuna sehemu chadema wamepoteza mwelekeo, labda mimi akili yangu imekua ndogo sana sichanganui vizuri.

Lakini ukiangalia vizuri chadema ya mwaka 2005 na ya leo 2020 ni vitu viwili tofauti, sijui miaka kumi mbele ninini kitatokea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu mkuu ndio analipa mawakala nchi nzima?? Acha utani
Mtafuteni Katibu mkuu John Mnyika ndie anashughulikia masuala ya malipo ya mawakala wa CHADEMA, huyo kijana mnamuonea bure
 
Tunashukuru wana-Mwanza kwa kumkataa Pambalu! Bahati mbaya angeingia Bungeni tungepata hasara kubwa kama Taifa!

Mawakala na nyinyi jiongezeni muhamie CCM. Huku hakuna michezo ya utapeli.

Pambalu acha ujanja ujanja na utoe pesa za watu. Tutakomaa na wewe mpaka pesa utoe. Hakuna kucheka na kima hapa.
 
Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…