Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa: Mzee Wassira utakuja kumeza maiki. Tuambie Deusdedith Soka yuko wapi?

Pre GE2025 Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa: Mzee Wassira utakuja kumeza maiki. Tuambie Deusdedith Soka yuko wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Ni wazi kuwa kwa sasa huyu CHADEMA imeanza kazi rasmi ya kuwapopoa CCM na hii ni baada ya Mahinyila leo kumuwashia moto Wassira

==========================

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Wakili Deogratius Mahinyila akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Berege wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma amemuuliza Stephen Wazira kuhusu wapi alipo Deusdedith Soka.


Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bara) ukitaka vijana tukuelewe zungumza tatizo la ajira kwa vijana wa taifa hili, zungumza tatizo la ajira kwa vijana ambao wanasomeshwa kwa kodi za Watanzania wanamaliza vyuo hawana kazi, zipo digrii zinaendesha bodaboda halafu mnawakejeli kuwaita maafisa usafirishaji.

Mzee Wasira tupo kwenye Taifa ambalo vijana hawana uhakika kwamba kesho wataamka salama, Mzee Wasira tuambie soka yuko wapi?"



 
Wakuu,

Ni wazi kuwa kwa sasa huyu CHADEMA imeanza kazi rasmi ya kuwapopoa CCM na hii ni baada ya Mahinyila leo kumuwashia moto Wassira

==========================

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Wakili Deogratius Mahinyila akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Berege wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma amemuuliza Stephen Wazira kuhusu wapi alipo Deusdedith Soka.


Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bara) ukitaka vijana tukuelewe zungumza tatizo la ajira kwa vijana wa taifa hili, zungumza tatizo la ajira kwa vijana ambao wanasomeshwa kwa kodi za Watanzania wanamaliza vyuo hawana kazi, zipo digrii zinaendesha bodaboda halafu mnawakejeli kuwaita maafisa usafirishaji.

Mzee Wasira tupo kwenye Taifa ambalo vijana hawana uhakika kwamba kesho wataamka salama, Mzee Wasira tuambie soka yuko wapi?"



View attachment 3222638
Dogo alisema atandamana kuhakikisha soka anapatikana.hii ahadi yake wakati anaomba kura. Hivi sasa anarusha mateke tu
 
Walisha kufa hakuna jipya.Mpaka mnataka hekima itumike kuwa raisi hajute kuwa alikosea ccm ndio kiandikwe kitabu kuwa mtakatifu au mtume kwa niaba za dini za ccm.
 
Dogo alisema atandamana kuhakikisha soka anapatikana.hii ahadi yake wakati anaomba kura. Hivi sasa anarusha mateke tu
Wanaume wanapohadili mambo ya kiume wewe chukua kopo wahi maliwatoni
 
Dogo alisema atandamana kuhakikisha soka anapatikana.hii ahadi yake wakati anaomba kura. Hivi sasa anarusha mateke tu

Muacheni mtoto wa watu apumue.

Hana hata mwezi kwenye uongozi mshaanza kumuandama.
 
Wakuu,

Ni wazi kuwa kwa sasa huyu CHADEMA imeanza kazi rasmi ya kuwapopoa CCM na hii ni baada ya Mahinyila leo kumuwashia moto Wassira

==========================

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Wakili Deogratius Mahinyila akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Berege wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma amemuuliza Stephen Wazira kuhusu wapi alipo Deusdedith Soka.


Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bara) ukitaka vijana tukuelewe zungumza tatizo la ajira kwa vijana wa taifa hili, zungumza tatizo la ajira kwa vijana ambao wanasomeshwa kwa kodi za Watanzania wanamaliza vyuo hawana kazi, zipo digrii zinaendesha bodaboda halafu mnawakejeli kuwaita maafisa usafirishaji.

Mzee Wasira tupo kwenye Taifa ambalo vijana hawana uhakika kwamba kesho wataamka salama, Mzee Wasira tuambie soka yuko wapi?"



View attachment 3222638
Hii nyara irudishwe tu Hifadhi ya Gombe
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 4
Kwa hiyo hicho ndio kimempeleka Mpwapwa kwenda kusema? What a wastage of resources!
 
Back
Top Bottom