Mwenyekiti Wa Bunge Jaribu Kutumia Haki Katika Kuwapa Muda Wachangiaji

Mwenyekiti Wa Bunge Jaribu Kutumia Haki Katika Kuwapa Muda Wachangiaji

Kuntakint

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,767
Reaction score
1,526
Nimejaribu kuweka baadhi ya wachangiaji ambao mwenyekiti kawakata muda wao na wengine kuongezewa. Ushauri wangu kwa mwenyekiyi ni vizuri kutumia haki pasipo kubagua baadhi ya wajumbe. Labda kama mjumbe mwenyewe ataamua kuachia muda wake

1. Lusinde katumia dakika 10:36 kazidisha muda
2. Wenje katumia dakika 08:59 na kuambiwa dakika zimeisha
3. Mponda katumia dakika 08:33 alimalizia mwenyewe
4. Mbatia katumia dakika 08:33 kamalizia baada ya kuambiwa bado dk 1
5. Chenge katumia dakika 11:56 kazidisha muda
 
Sijajua kwa nini huyu baba anakuwa na upendeleo kwa upande wa muda! Otherwise naona anaendesha mijadala vizuri!
 
Hovyo tu naye huyu...mdini sana hyu mzee
 
Back
Top Bottom