Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi hawa wana- CCM ambao walikuwa hawana hata agenda ya katiba mpya na waliokuwa vinara wa kupinga wazo hili kweli wanastahili kugombea uenyekiti wa Bunge hili huku mtu kama Chenge anaetajwa akiwa na tuhuma kibao?
Watanzania tuache utani,hakuna mtu ndani ya CCM atakaeweza kuweka mbele maslahi ya Taifa.
Ni kigogo gani kati ya hao wanaotajwa(Sitta na Chenge) anaeweza kusimamia vizuri mchakato huo?
Hata kama mmoja wao ni msafi kidogo,wanaomzunguka je?
Mwenyekiti wa hili Bunge anastahili kuwa na sifa moja kubwa ya kutokuwa kwenye "system" tangu uhuru.
Tofauti na hapo yatakuwa ni yale ya spika Makinda na serikali ya CCM Bungeni.
Watanzania tuache utani,hakuna mtu ndani ya CCM atakaeweza kuweka mbele maslahi ya Taifa.
Ni kigogo gani kati ya hao wanaotajwa(Sitta na Chenge) anaeweza kusimamia vizuri mchakato huo?
Hata kama mmoja wao ni msafi kidogo,wanaomzunguka je?
Mwenyekiti wa hili Bunge anastahili kuwa na sifa moja kubwa ya kutokuwa kwenye "system" tangu uhuru.
Tofauti na hapo yatakuwa ni yale ya spika Makinda na serikali ya CCM Bungeni.