Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM Katavi: Aliyeshinda kura za maoni Udiwani ndiye aliyeteuliwa kugombea

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM Katavi: Aliyeshinda kura za maoni Udiwani ndiye aliyeteuliwa kugombea

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Breaking News: Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimesema majina ya uteuzi wa udiwani yametolewa na kwamba aliye shinda kura za maoni ndiye aliyeteuliwa.

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Katavi Nd Alfred Beda Katani alipo kuwa akizungumza kwa njia ya simu na Mpanda radio FM kupitia kipindi cha Kumekucha Tanzania asubuhi ya Leo.
 
Jinsi rushwa ilivyotapakaa, jinsi ambavyo iko wazi kwamba hata walio ngazi za juu ni kwa sababu ya rushwa ndivyo ambavyo ni ngumu sana kusema mtu anaweza tokea wa tatu au wanne halafu ateuliwe yeye na kumuacha wa kwanza eti kisa katoa rushwa.

Mule wote ni wachafu kwa hiyo ni ngumu mchafu mmoja kumchukulia hatua mchafu mwengine.
 
Back
Top Bottom