STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Engineer Petro Kingu....Mweneyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro anashikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kumpiga ngumi askari wa usalama barabarani.
Lakini mwenyewe amekanusha tuhuma hizi na kudai kuwa ni njama tu....hajaeleza ni njama gani???
SOURCE: HABARI ITV
Lakini mwenyewe amekanusha tuhuma hizi na kudai kuwa ni njama tu....hajaeleza ni njama gani???
SOURCE: HABARI ITV