Engineer Petro Kingu....Mweneyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro anashikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kumpiga ngumi askari wa usalama barabarani.
Lakini mwenyewe amekanusha tuhuma hizi na kudai kuwa ni njama tu....hajaeleza ni njama gani???
SOURCE: HABARI ITV
Sasa mwacheni akaolewe zake
Huyu Mzee imekula kwake. I feel sorry for him. Naona aachane na siasa aendelee na ujeznzi. Kwanza fundi mchundo huyu..snahisi ndo wale wa bongo tambarale
Huyu Mzee imekula kwake. I feel sorry for him. Naona aachane na siasa aendelee na ujeznzi. Kwanza fundi mchundo huyu..snahisi ndo wale wa bongo tambarale