johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dalas rais wa Ununio 😀R.I.P Mwenyekiti nimemkumbuka Dalas jamaa alilamba mil 700 akala bata zikaisha zotee!
Sawa sawa. Huo ndio uislam unavyofundisha. Lkn ukifa sio muislamu kwa mujibu wa uislam hata kama baba yako mzazi unatakiwa uangalie tu mazishi kama mgeni hutakiwi kushiriki kama wewe ni muislamuMwenyekiti wa CCM TAWI la Uninio Kata ya Kunduchi mh Kambi amefariki jana na kuzikwa leo kwenye Mji Mkuu wa Ununio.
Mazishi yameongizwa na Shehe wa mkoa wa DSM alhad Walid.
Chama kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni na Viongozi mbalimbali akiwemo Meya Mstaafu mh Abuu Juma na mh Londo.
Shehe amesema Mtume Muhammad saw alifundisha kuyanena Mema ya marehemu na yale tunayodhani ni mabaya aachiwe Mungu.
Ramadan Mubarak
Kwahiyo Muislamu huzikwa na Waislam?Sawa sawa. Huo ndio uislam unavyofundisha. Lkn ukifa sio muislamu kwa mujibu wa uislam hata kama baba yako mzazi unatakiwa uangalie tu mazishi kama mgeni hutakiwi kushiriki kama wewe ni muislamu
Hunenwa mema yake ni siyo mabaya hata kama alikuwa kafiri?Mwenyekiti wa CCM TAWI la Uninio Kata ya Kunduchi mh Kambi amefariki jana na kuzikwa leo kwenye Mji Mkuu wa Ununio.
Mazishi yameongizwa na Shehe wa mkoa wa DSM alhad Walid.
Chama kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni na Viongozi mbalimbali akiwemo Meya Mstaafu mh Abuu Juma na mh Londo.
Shehe amesema Mtume Muhammad saw alifundisha kuyanena Mema ya marehemu na yale tunayodhani ni mabaya aachiwe Mungu.
Ramadan Mubarak
Kuna kuzika na kumfukia. Kumzika ni hatua zote ukiondoa kumfukia. Kumfukia tayari ashazikwa kilichobaki ni kumfukia mchanga. Kumfukia changa kila mmoja sio kosha kushirikiKwahiyo Muislamu huzikwa na Waislam?
Hata awe kafiri akishakufa unatakiwa unyamaze kimya huku wewe ukishukuru na kuzidi kuomba ufe ukiwa muislam tena muislam mchaMunguHunenwa mema yake ni siyo mabaya hata kama alikuwa kafiri?
Hili swali alipaswa kuulizwa shehe.
Taarifa hii ingekuwa nzuri sana kama ingesema ccm wote wamefarik
Kunyamaza ila siyo kumnenea mema!Hata awe kafiri akishakufa unatakiwa unyamaze kimya huku wewe ukishukuru na kuzidi kuomba ufe ukiwa muislam tena muislam mchaMungu
Kafir ni mtu yule anayejiita muislamu huku akiwa hafuati mafundisho ya Mtume Muhammad SAWHunenwa mema yake ni siyo mabaya hata kama alikuwa kafiri?
Hili swali alipaswa kuulizwa shehe.
Kwa hiyo wakristo, wabudha, wayahudi, wakorea, washinto, wachina, wagagagigikoko, wajapan, wahindu, bushmen na wengineo sio makafiri?Kafir ni mtu yule anayejiita muislamu huku akiwa hafuati mafundisho ya Mtume Muhammad SAW
Hao Wote Wana dini Zao hawawezi Kuwa makafir kwa Sababu Mtume Muhammad saw hawahusu kwa loloteKwa hiyo wakristo, wabudha, wayahudi, wakorea, washinto, wachina, wagagagigikoko, wajapan, wahindu, bushmen na wengineo sio
Kwa hiyo unamaanisha makafiri ni waislamu wenzao?Hao Wote Wana dini Zao hawawezi Kuwa makafir kwa Sababu Mtume Muhammad saw hawahusu kwa lolote
Makafir ni Waislam wasiofuata Mafundisho ya mtume Muhammad sawKwa hiyo unamaanisha makafiri ni waislamu wenzao?
Kumbe wa Tawi nilidhani wa KADAMwenyekiti wa CCM TAWI la Uninio Kata ya Kunduchi mh Kambi amefariki jana na kuzikwa leo kwenye Mji Mkuu wa Ununio.
Mazishi yameongizwa na Shehe wa mkoa wa DSM alhad Walid.
Chama kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni na Viongozi mbalimbali akiwemo Meya Mstaafu mh Abuu Juma na mh Londo.
Shehe amesema Mtume Muhammad saw alifundisha kuyanena Mema ya marehemu na yale tunayodhani ni mabaya aachiwe Mungu.
Ramadan Mubarak
TAWI la CCM ni sawa na Kanda kwa ChademaKumbe wa Tawi nilidhani wa KADA