mbikagani
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 3,107
- 1,782
Habari wanaJF,
Huyu anafahamika kwa jina la Ameir. Ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi Wilaya ya Kilosa.
Kama mnakumbuka huyu alishawai kutajwa na waziri wa ardhi mh Lukuvi mbele ya Rais Magufuli kuwa anamiliki mashamba makubwa kinyume na utaratibu.
Kwa sasa amevamia kata inaitwa Mbigiri na kujipatia shamba la ushirika wa miwa(AMCOS) kwa njia isiyosahihi.
Shamba lenye thamani ya milioni mia tisa (Tshs 900,000,000), yeye amepitia njia batiri na kulipata kwa milioni mia tatu (Tshs 300,000,000).
Mbaya zaidi hicho kikundi cha ushirika walishawekeza kwa kuchimba visima vya kumwagilia na kupanda miwa. Yeye kwa kupiti viongozi wa ccm na wa serikali, kwa vile ana nguvu ya kifedha na cheo cha uenyekiti wa chama, anawashurutisha viongozi hawa kuchoma miwa moto na kupora maeneo yao waliyokwisha yalima.
Kimsingi hakuna anayeweza kumgusa huyu jamaa, si mkuu wa wilaya wala watendaji wa wilaya.
Tunamuomba Rais Magufuli ammulike huyu chairman wa wilaya CCM, ni mtu jeuri na kiburi sana.
Kwa kutumia cheo chake na nguvu ya fedha aliyonayo anasabisha shida sana hapa kilosa.
Ameagiza watu wachome moto miwa na alipoitwa bwana shamba na polisi kutoa tathimini ya hasara eneo zaidi ya hekeri ishirini, huyu bwana shamba kaleta majibu ya nil, maana hakuna thamani yeyote.
Ameir ni mtu hatari sana hapa Kilosa kwa upande wa migogoro ya mashamba.
Huyu anafahamika kwa jina la Ameir. Ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi Wilaya ya Kilosa.
Kama mnakumbuka huyu alishawai kutajwa na waziri wa ardhi mh Lukuvi mbele ya Rais Magufuli kuwa anamiliki mashamba makubwa kinyume na utaratibu.
Kwa sasa amevamia kata inaitwa Mbigiri na kujipatia shamba la ushirika wa miwa(AMCOS) kwa njia isiyosahihi.
Shamba lenye thamani ya milioni mia tisa (Tshs 900,000,000), yeye amepitia njia batiri na kulipata kwa milioni mia tatu (Tshs 300,000,000).
Mbaya zaidi hicho kikundi cha ushirika walishawekeza kwa kuchimba visima vya kumwagilia na kupanda miwa. Yeye kwa kupiti viongozi wa ccm na wa serikali, kwa vile ana nguvu ya kifedha na cheo cha uenyekiti wa chama, anawashurutisha viongozi hawa kuchoma miwa moto na kupora maeneo yao waliyokwisha yalima.
Kimsingi hakuna anayeweza kumgusa huyu jamaa, si mkuu wa wilaya wala watendaji wa wilaya.
Tunamuomba Rais Magufuli ammulike huyu chairman wa wilaya CCM, ni mtu jeuri na kiburi sana.
Kwa kutumia cheo chake na nguvu ya fedha aliyonayo anasabisha shida sana hapa kilosa.
Ameagiza watu wachome moto miwa na alipoitwa bwana shamba na polisi kutoa tathimini ya hasara eneo zaidi ya hekeri ishirini, huyu bwana shamba kaleta majibu ya nil, maana hakuna thamani yeyote.
Ameir ni mtu hatari sana hapa Kilosa kwa upande wa migogoro ya mashamba.