Mwenyekiti wa CHADEMA anaongoza wajumbe au wanachama?

Mwenyekiti wa CHADEMA anaongoza wajumbe au wanachama?

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729
Wakuu habari za mchana, wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa kuna hii notion imekuwa ikirudiwa rudiwa na Team Mbowe.

Kwanza walianza campaign team ya Mbowe, akafuata Mbowe mwenyewe kwenye mahojiano na gazeti la mwananchi na sasa imerudiwa na mashabiki wake hapo mlimani City.

Video hapo chini inasema Mbowe anakubalika zaidi na wajumbe ila Lissu anakubalika na wanachama hivyo Lissu hawezi kumshinda Mbowe. Sasa najiuliza, kwani mwenyekiti anaenda kuongoza wajumbe au wanachama.

Hivi hawa Team Mbowe wanadhani wajumbe ndio wana manufaa kuliko wanachama? This is delusional.


View: https://youtu.be/by2ETAqFwPI?si=InWMdnivdphNVYju

Niwaase wajumbe kama mnajua Lissu anakubalika na wanachama ambao ni mamilion kwanini basi wajumbe 1000+ ndio watoe hatma bila kusikiliza maoni ya wajumbe? Huyo Mbowe si atahitaji kura za wanachama hiyo oktoba au kura za urais na wabunge zitapigwa na wajumbe pekee?

I rest my case
 
Wakuu habari za mchana, wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa kuna hii notion imekuwa ikirudiwa rudiwa na Team Mbowe.

Kwanza walianza campaign team ya Mbowe, akafuata Mbowe mwenyewe kwenye mahojiano na gazeti la mwananchi na sasa imerudiwa na mashabiki wake hapo mlimani City.

Video hapo chini inasema Mbowe anakubalika zaidi na wajumbe ila Lissu anakubalika na wanachama hivyo Lissu hawezi kumshinda Mbowe. Sasa najiuliza, kwani mwenyekiti anaenda kuongoza wajumbe au wanachama.

Hivi hawa Team Mbowe wanadhani wajumbe ndio wana manufaa kuliko wanachama? This is delusional.


View: https://youtu.be/by2ETAqFwPI?si=InWMdnivdphNVYju

Niwaase wajumbe kama mnajua Lissu anakubalika na wanachama ambao ni mamilion kwanini basi wajumbe 1000+ ndio watoe hatma bila kusikiliza maoni ya wajumbe? Huyo Mbowe si atahitaji kura za wanachama hiyo oktoba au kura za urais na wabunge zitapigwa na wajumbe pekee?

I rest my case

Achana nao hao machawa wa sultani.
Wanachama wakisusia hicho chama utakuwa ndio mwisho wake na hawatokanyaga tena hapo walipo leo hii
 
Basi akishinda mbowe na kura watampa hao haoo wajumbe wake, tuone ataambulia kura ngp uchaguzi mkuu!!.
 
Wakuu habari za mchana, wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa kuna hii notion imekuwa ikirudiwa rudiwa na Team Mbowe.

Kwanza walianza campaign team ya Mbowe, akafuata Mbowe mwenyewe kwenye mahojiano na gazeti la mwananchi na sasa imerudiwa na mashabiki wake hapo mlimani City.

Video hapo chini inasema Mbowe anakubalika zaidi na wajumbe ila Lissu anakubalika na wanachama hivyo Lissu hawezi kumshinda Mbowe. Sasa najiuliza, kwani mwenyekiti anaenda kuongoza wajumbe au wanachama.

Hivi hawa Team Mbowe wanadhani wajumbe ndio wana manufaa kuliko wanachama? This is delusional.


View: https://youtu.be/by2ETAqFwPI?si=InWMdnivdphNVYju

Niwaase wajumbe kama mnajua Lissu anakubalika na wanachama ambao ni mamilion kwanini basi wajumbe 1000+ ndio watoe hatma bila kusikiliza maoni ya wajumbe? Huyo Mbowe si atahitaji kura za wanachama hiyo oktoba au kura za urais na wabunge zitapigwa na wajumbe pekee?

I rest my case

Maoni ya wajumbe yatajulikana kupitia kura watakazo piga. Kama mamilioni ya wanachama wa CDM wanamtaka Lissu, wawakilishi wao watampigia Lissu.
Mnapenda mno kuzua matatizo ambayo hayapo.
Mimi simkubali Lissu lakini akishinda uchaguzi nitamtambua kama Mwenyekiti halali wa CHADEMA. Wewe unaweza kusema hilo kuhusu Mbowe? Kuwa Mbowe akishinda utamtambua kama Mwenyekiti halali wa CHADEMA? Bila caveats zozote.

Amandla...
 
Maoni ya wajumbe yatajulikana kupitia kura watakazo piga. Kama mamilioni ya wanachama wa CDM wanamtaka Lissu, wawakilishi wao watampigia Lissu.
Mnapenda mno kuzua matatizo ambayo hayapo.
Mimi simkubali Lissu lakini akishinda uchaguzi nitamtambua kama Mwenyekiti halali wa CHADEMA. Wewe unaweza kusema hilo kuhusu Mbowe? Kuwa Mbowe akishinda utamtambua kama Mwenyekiti halali wa CHADEMA? Bila caveats zozote.

Amandla...
Hapana hiyo video ni kambi ya Mbowe inakiri Lissu anakubalika na wanachama na washabiki wa chadema ambao sio wapiga kura wa mkutano mkuu!! Ndio maana nauliza huyo Mbowe wao akishinda anaenda kuongoza wajumbe au wanachama?

Juzi kwenye mahojiano ya citizen na mwananchi huyo Mbowe alisema Lissu anashabikiwa na watu ambao sio wajumbe na watu nje ya chama pia wakiwemo diaspora. Sasa najiuliza kama Mbowe anajua Lissu ni popular kuliko yeye why alazimishe kuwa mwenyekiti kwa wanachama wasiomtaka.

BAVICHA ndio 70% ya wanachama wa chadema sasa nayo imemkataa ataenda kuongoza wazee??

Mbowe akishinda duh tunapoteza 50% ya wapiga kura hiyo oktoba. Mama hatohitaji kuiba kura hata moja
 
Hizo takwimu za Bavicha umezitoa wapi? Wanaoonekana wakipambania sana chama ni Bawacha kuliko hao Bavicha. Ingekuwa lengo ni wanachama kumchagua moja kwa moja kiongozi wao basi mfumo ungebadilishwa. Na iwe hivyo hivyo kwa nafasi zote za uongozi.

Na kama Bavicha wanakiunga mkono chama kwa sababu ya mtu basi hawana faida yeyote.

Amandla...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huzo takwimu za Bavicha umezitoa wapi? Wanaoonekana wakipambania sana chama ni Bawacha kuliko hao Bavicha. Ingekuwa lengo ni wanachama kumchagua moja kwa moja kiongozi wao basi mfumo ungebadilishwa. Na iwe hivyo hivyo kwa nafasi zote za uongozi.

Amandla...
Bavicha si uchaguzi uliona? Team Mbowe alipotezwa kabisa na yeye alilalamika kuwa Lissu ku endorse mgombea ndio kulimharibia. Sasa Tanzania vijana walio chini ya 35 ni zaidi ya 70% according to national census ya mwaka juzi. So technically Chadema ina vijana wengi kuliko wazee kama ilivyo vyama vyote, sasa kama BAVICHA imemkataa Mbowe, anatarajia ataenda kuongoza wazee?

Mbowe is a disappointment, subiri wampe kura tuone watakuja vipi huku mashinani.
 
Anaongoza makundi yote, wajumbe ni wanachama pia.
Mbowe anachaguliwa.
 
Bavicha si uchaguzi uliona? Team Mbowe alipotezwa kabisa na yeye alilalamika kuwa Lissu ku endorse mgombea ndio kulimharibia. Sasa Tanzania vijana walio chini ya 35 ni zaidi ya 70% according to national census ya mwaka juzi. So technically Chadema ina vijana wengi kuliko wazee kama ilivyo vyama vyote, sasa kama BAVICHA imemkataa Mbowe, anatarajia ataenda kuongoza wazee?

Mbowe is a disappointment, subiri wampe kura tuone watakuja vipi huku mashinani.
Mbona Lissu alim endorse Simba akabagwa?
Hapo ndipo mnakosea. Siku zote vijana huwa hawajihusishi katika siasa. Angalia muitikio wa boda boda, wasanii n.k. Waliombeba Nyerere ni wakina mama wa nyumbani wakiongozwa na Bibi Titi Mohamed. Hamna wapambanaji kama wakina mama ingawa hawatambuliwi katika nafasi za uongozi.

Tanzania ni nchi ya machawa. Yeyote atakayeshinda atashangiliwa kwa kishindo na kila mtu atajifanya kuwa alikuwa anamsupport. Njaa ni mbaya sana.

Amandla...
 
Waafrika huwa hawapimi athari ya kitu kwa kutumia akili, bali wanapima kwa athari moja kwa moja zikimkumba.

Akiambiwa hiki ni kisu kitakukata kwa akili hataki kupima hivyo, mpaka kimletee athari za moja kwa moja kwenye mwili wake ndipo anafahamu anhaaa kumbe kisu kinakata.

Hata Mbowe na wafuasi wake wao wanaamini watatoboa na chama kitafika mbali baada ya huu uchaguzi. Hawataki kupima kwa kufanya marejeo kuangalia NCCR Mageuzi na CuF kuanguka kwake.

Mpaka Chama kife kabisa ndipo baadaye watakuja kujilaumu na kujifanya wamepevuka.

Hii ndiyo akili ya mwafrika.
 
Wakuu habari za mchana, wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa kuna hii notion imekuwa ikirudiwa rudiwa na Team Mbowe.

Kwanza walianza campaign team ya Mbowe, akafuata Mbowe mwenyewe kwenye mahojiano na gazeti la mwananchi na sasa imerudiwa na mashabiki wake hapo mlimani City.

Video hapo chini inasema Mbowe anakubalika zaidi na wajumbe ila Lissu anakubalika na wanachama hivyo Lissu hawezi kumshinda Mbowe. Sasa najiuliza, kwani mwenyekiti anaenda kuongoza wajumbe au wanachama.

Hivi hawa Team Mbowe wanadhani wajumbe ndio wana manufaa kuliko wanachama? This is delusional.


View: https://youtu.be/by2ETAqFwPI?si=InWMdnivdphNVYju

Niwaase wajumbe kama mnajua Lissu anakubalika na wanachama ambao ni mamilion kwanini basi wajumbe 1000+ ndio watoe hatma bila kusikiliza maoni ya wajumbe? Huyo Mbowe si atahitaji kura za wanachama hiyo oktoba au kura za urais na wabunge zitapigwa na wajumbe pekee?

I rest my case

Hizi kampeni hawa jamaa wanachafuana sana, sijui baada ya uchaguzi wayasahau kabisa jinsi walivyochafuana labda mmoja atangaze kujitoa na kumuunga mkono mwenzake kabla kura hazijaanza.
 
Wakuu habari za mchana, wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa kuna hii notion imekuwa ikirudiwa rudiwa na Team Mbowe.

Kwanza walianza campaign team ya Mbowe, akafuata Mbowe mwenyewe kwenye mahojiano na gazeti la mwananchi na sasa imerudiwa na mashabiki wake hapo mlimani City.

Video hapo chini inasema Mbowe anakubalika zaidi na wajumbe ila Lissu anakubalika na wanachama hivyo Lissu hawezi kumshinda Mbowe. Sasa najiuliza, kwani mwenyekiti anaenda kuongoza wajumbe au wanachama.

Hivi hawa Team Mbowe wanadhani wajumbe ndio wana manufaa kuliko wanachama? This is delusional.


View: https://youtu.be/by2ETAqFwPI?si=InWMdnivdphNVYju

Niwaase wajumbe kama mnajua Lissu anakubalika na wanachama ambao ni mamilion kwanini basi wajumbe 1000+ ndio watoe hatma bila kusikiliza maoni ya wajumbe? Huyo Mbowe si atahitaji kura za wanachama hiyo oktoba au kura za urais na wabunge zitapigwa na wajumbe pekee?

I rest my case

ni uelewa na ufahamu mdogo tu wa baadhi ya wadau dhidi ya mambo haya ndiyo changamoto gentleman.

wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ni wawakilishi wa wanachama wote wa chadema kote nchini.

na kwahivyo wajumbe ni wanachama wawakilishi, wenye dhamana na wajibu wakuamua nani awe mwenyekiti wa Chadema Taifa, kwa niaba ya wanachadema wote nchi nzima Full stop. 🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wakuu habari za mchana, wakati joto la uchaguzi likizidi kupaa kuna hii notion imekuwa ikirudiwa rudiwa na Team Mbowe.

Kwanza walianza campaign team ya Mbowe, akafuata Mbowe mwenyewe kwenye mahojiano na gazeti la mwananchi na sasa imerudiwa na mashabiki wake hapo mlimani City.

Video hapo chini inasema Mbowe anakubalika zaidi na wajumbe ila Lissu anakubalika na wanachama hivyo Lissu hawezi kumshinda Mbowe. Sasa najiuliza, kwani mwenyekiti anaenda kuongoza wajumbe au wanachama.

Hivi hawa Team Mbowe wanadhani wajumbe ndio wana manufaa kuliko wanachama? This is delusional.


View: https://youtu.be/by2ETAqFwPI?si=InWMdnivdphNVYju

Niwaase wajumbe kama mnajua Lissu anakubalika na wanachama ambao ni mamilion kwanini basi wajumbe 1000+ ndio watoe hatma bila kusikiliza maoni ya wajumbe? Huyo Mbowe si atahitaji kura za wanachama hiyo oktoba au kura za urais na wabunge zitapigwa na wajumbe pekee?

I rest my case

Unategemea washauri kama Yeriko wanaojali Pombe na nyama wanajua Hilo?
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Back
Top Bottom