Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Faiza ulikosa uteuz enzi za jk,wenzako wote waliokua wamejaaliwa neema za Allah kama ww ulivyo na tako kubwa walilamba uteuzi udc awamu hii unajipendekeza kwa kasi unatamani mpaka kuingia kanisani lkn hawakuoni tu pole sana
Kweli kabisaa aisee enzi za JK bwana hata Mwegelo sijui Kidoti anaitwa alipata udisii
 
Kweli kabisa chini ya Magu sheria zinafuatwa sana nakumbuka hata Makonda alivyoshughulikiwa alipojaibu kukwepa kodi, wee acha tu
 
Kibaya ninachokiona ni kuwa hawa walikuwa wanafuatilia haki yao lakini polisi aliyefanya mauaji yuko huru
 
Eti na wewe unajiita mwanamke swala tano, mnaidhalilisha dini ya kiislamu.
Unachokihusisha na dini nini? Mbona wengi tu mna majina ya kishenzi? Kuna mnaoitwa majina hata kuyataja mbele za watu ni muhali.. Mtu anaitwa "mboro"! Khaa!

Huyo asili ya jina lake ni matako. Unachobisha au kilichofanya uuingize Uislam ni nini? Uislam unafundisha mpeane majina mazuri.
 
Hilo jina ulilolitaja kwa jamii ya kitanzania halifai lkn ukienda Zambia au Afrika Kusini utakuta ni jina la kawaida tu.
 
Hilo jina ulilolitaja kwa jamii ya kitanzania halifai lkn ukienda Zambia au Afrika Kusini utakuta ni jina la kawaida tu.
Naona huelewi kuwa wachagga wapo kina mboro.

Huyo ni matako hilo matiko ni baada ya habari.

Huwa sikisii.
 
Mboro si mbolo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jaji hajapigiwa simu kutoka juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…