Kweli kabisaa aisee enzi za JK bwana hata Mwegelo sijui Kidoti anaitwa alipata udisiiFaiza ulikosa uteuz enzi za jk,wenzako wote waliokua wamejaaliwa neema za Allah kama ww ulivyo na tako kubwa walilamba uteuzi udc awamu hii unajipendekeza kwa kasi unatamani mpaka kuingia kanisani lkn hawakuoni tu pole sana
Kweli kabisa chini ya Magu sheria zinafuatwa sana nakumbuka hata Makonda alivyoshughulikiwa alipojaibu kukwepa kodi, wee acha tunenda ukamshauri aache kudharau mahakama atapotea yule nyau wenu, chini ya magufuli sheria zinafuatwa na kuheshimiwa, magu sio mkwele. wakati anavunja sheria mlikua wapi kumrudisha kwenye reli sahz mnaishia kutia huruma.
yule kama akiachiwa tena kwa dhamana itakua ni huruma tu ya mahakama imemshukia otherwise boss wenu hatoki hadi kesi ya msingi iishe
Mwanamke wa Kiislam at your Best.Hata Matako ni jina pia sifahamu kwanini alijibadilisha.
Eti na wewe unajiita mwanamke swala tano, mnaidhalilisha dini ya kiislamu.Hata Matako ni jina pia sifahamu kwanini alijibadilisha.
Unachokihusisha na dini nini? Mbona wengi tu mna majina ya kishenzi? Kuna mnaoitwa majina hata kuyataja mbele za watu ni muhali.. Mtu anaitwa "mboro"! Khaa!Eti na wewe unajiita mwanamke swala tano, mnaidhalilisha dini ya kiislamu.
Huwa hatumumunyi maneno, matako ni matako tu hata ukiyapamba yanabaki kuwa matako.
Hilo jina ulilolitaja kwa jamii ya kitanzania halifai lkn ukienda Zambia au Afrika Kusini utakuta ni jina la kawaida tu.Unachokihusisha na dini nini? Mbona wengi tu mna majina ya kishenzi? Kuna mnaoitwa majina hata kuyataja mbele za watu ni muhali.. Mtu anaitwa "mboro"! Khaa!
Huyo asili ya jina lake ni matako. Unachobisha au kilichofanya uuingize Uislam ni nini? Uislam unafundisha mpeane majina mazuri.
Naona huelewi kuwa wachagga wapo kina mboro.Hilo jina ulilolitaja kwa jamii ya kitanzania halifai lkn ukienda Zambia au Afrika Kusini utakuta ni jina la kawaida tu.
Unachokihusisha na dini nini? Mbona wengi tu mna majina ya kishenzi? Kuna mnaoitwa majina hata kuyataja mbele za watu ni muhali.. Mtu anaitwa "mboro"! Khaa!
Huyo asili ya jina lake ni matako. Unachobisha au kilichofanya uuingize Uislam ni nini? Uislam unafundisha mpeane majina mazuri.