Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA, Ilala: Mbowe atoe tamko kuhusu wapambe wake

Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA, Ilala: Mbowe atoe tamko kuhusu wapambe wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.
 
Panapokuwa na uchaguzi, uwepo wa makundi na vijembe ni jambo la kawaida. Hii Wala sio tukio la kupanic.
 
Vikambalie visokolokwinyo ni mwendo wa Press juu ya Press...

Hawa madogo wangejua moto wanaoucheza ni long term and career destructive wasingeendelea nao...

Style hii hii itatumiwa na wajanja na wapinzani wa CDM baadae kupenyeza agenda zao....

Wanaoipenda CDM ni muda wa kuwaadhibu hawa madogo na ikiwezekana kuwanyima uongozi kwa muda mrefu sana baadae...

I mean wote....
 
Mwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.
View attachment 3181093
Karipoti polisi! Kama kikuuma
 
Vikambalie visokolokwinyo ni mwendo wa Press juu ya Press...

Hawa madogo wangejua moto wanaoucheza ni long term and career destructive wasingeendelea nao...

Style hii hii itatumiwa na wajanja na wapinzani wa CDM baadae kupenyeza agenda zao....

Wanaoipenda CDM ni muda wa kuwaadhibu hawa madogo na ikiwezekana kuwanyima uongozi kwa muda mrefu sana baadae...

I mean wote....

Huna neno lolote kwa wakongwe?

GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg


Cc: imhotep
 
huu uchaguzi nina wasiwasi vyama pinzani vinaingia kwa kupenyeza penyeza watu ili kuchafua au kuyumbisha chama
 
Mwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.
View attachment 3181093
Hapa ni Dagaa anamtishia Papa
 
Vikambalie visokolokwinyo ni mwendo wa Press juu ya Press...

Hawa madogo wangejua moto wanaoucheza ni long term and career destructive wasingeendelea nao...

Style hii hii itatumiwa na wajanja na wapinzani wa CDM baadae kupenyeza agenda zao....

Wanaoipenda CDM ni muda wa kuwaadhibu hawa madogo na ikiwezekana kuwanyima uongozi kwa muda mrefu sana baadae...

I mean wote....
Anapata wapi ubavu wa kumuagiza Mwenyekiti wake?

Amandla...
 
Back
Top Bottom