Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Karipoti polisi! Kama kikuumaMwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.
View attachment 3181093
Vikambalie visokolokwinyo ni mwendo wa Press juu ya Press...
Hawa madogo wangejua moto wanaoucheza ni long term and career destructive wasingeendelea nao...
Style hii hii itatumiwa na wajanja na wapinzani wa CDM baadae kupenyeza agenda zao....
Wanaoipenda CDM ni muda wa kuwaadhibu hawa madogo na ikiwezekana kuwanyima uongozi kwa muda mrefu sana baadae...
I mean wote....
acha ujingaKaripoti polisi! Kama kikuuma
Nimeiangalia hiki kijitu, kama mkubwa sana kazaliwa 2007
Hapa ni Dagaa anamtishia PapaMwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama hiko wanaotukana wenzao mtandaoni, kwa baadhi ya watu ambao wameonesha nia ya kugombea.
View attachment 3181093
Huyo zero?Kwani kikiungalia wewe kinakuona kijitu cha lini?
Huyo ni takatakaLabda naye anakuona wewe zero.
Hivyo ngoma droo!
Huyo ni takataka
Anapata wapi ubavu wa kumuagiza Mwenyekiti wake?Vikambalie visokolokwinyo ni mwendo wa Press juu ya Press...
Hawa madogo wangejua moto wanaoucheza ni long term and career destructive wasingeendelea nao...
Style hii hii itatumiwa na wajanja na wapinzani wa CDM baadae kupenyeza agenda zao....
Wanaoipenda CDM ni muda wa kuwaadhibu hawa madogo na ikiwezekana kuwanyima uongozi kwa muda mrefu sana baadae...
I mean wote....