LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA Katavi: CCM wanakula kodi zenu, tunahitaji mabadiliko

LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA Katavi: CCM wanakula kodi zenu, tunahitaji mabadiliko

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wanaukumbi,

Naona CHADEMA pamoja na changamoto wanazopitia za kukamatwa kwa viongozi wao lakini still wapo on THE BEAST MODE kunadi sera zao kwenye kampeni

Akiwa kwenye kampeni huko Kilimahewa, kata ya Shanwe, Mpanda Mjini, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela, alikosoa viongozi wa CCM kwa kukosa uwajibikaji na kujali maslahi binafsi.

Pia alibainisha changamoto za jimbo la Mpanda Mjini, kama barabara mbovu, uchafu, ukosefu wa huduma za msingi, na uongozi wa mitaa usio waaminifu.

Soma pia: Katavi: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

"Barabara hazipitiki ni jimbo nzima, kipindicha mvua zinageuka madimbwi. Kuna uchafu wa mitaa, ubaguzi wa pesa za TASAF, maji, umeme, na viongozi wa mitaa sio waaminifu, ni wauza ardhi kiholela. Hatuna msemaji mwajibikaji kwa ajili ya Watanzania."

 
Wanaukumbi,

Naona CHADEMA pamoja na changamoto wanazopitia za kukamatwa kwa viongozi wao lakini still wapo on THE BEAST MODE kunadi sera zao kwenye kampeni

Akiwa kwenye kampeni huko Kilimahewa, kata ya Shanwe, Mpanda Mjini, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela, alikosoa viongozi wa CCM kwa kukosa uwajibikaji na kujali maslahi binafsi.

Pia alibainisha changamoto za jimbo la Mpanda Mjini, kama barabara mbovu, uchafu, ukosefu wa huduma za msingi, na uongozi wa mitaa usio waaminifu.

Soma pia: Katavi: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

"Barabara hazipitiki ni jimbo nzima, kipindicha mvua zinageuka madimbwi. Kuna uchafu wa mitaa, ubaguzi wa pesa za TASAF, maji, umeme, na viongozi wa mitaa sio waaminifu, ni wauza ardhi kiholela. Hatuna msemaji mwajibikaji kwa ajili ya Watanzania."

View attachment 3159528
ukikiuka sheria za nchi, utakula virungu vya maana kama sehemu ya kodi yako unayochangia..

Ni bora ukawa na heshima unapofanya siasa zako gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom