LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, akamatwa na Polisi

LGE2024 Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, akamatwa na Polisi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, kwa madai ya kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku huu, Novemba 25 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, mtuhumiwa huyo amekamatwa baada ya kuonekana kwenye video mjongeo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, akiwa anawahamasisha wananchi kufanya uhalifu Novemba 27,2024.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

"Maneno hayo ya kuhamasisha vurugu, aliyatamka hadharani Novemba 24,2024, na baada ya kutamka waliyasambaza katika mitandao ya kijamii" amesema Kamanda Maigwa.

Aidha, amesema mtuhumiwa anachukuliwa maelezo ili hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.


TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Na hili nalo mkalitazame

Mimi niko nako nimekaa paleee namshukuru mama Samia kwa hili
 
Wangetumia tu hii nguvu wanayotumia kwa chadema japo 5% watu wasingekufa pale kariakoo kwenye lile jengo kama kuku vibudu huku raisi akiwa kwenye coŕido za mkutano huko Brazil
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, kwa madai ya kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku huu, Novemba 25 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, mtuhumiwa huyo amekamatwa baada ya kuonekana kwenye video mjongeo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, akiwa anawahamasisha wananchi kufanya uhalifu Novemba 27,2024.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

"Maneno hayo ya kuhamasisha vurugu, aliyatamka hadharani Novemba 24,2024, na baada ya kutamka waliyasambaza katika mitandao ya kijamii" amesema Kamanda Maigwa.

Aidha, amesema mtuhumiwa anachukuliwa maelezo ili hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.
View attachment 3161612

TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hivi yule dogo wa KAGERA UVCCM yeye haguswi?
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, kwa madai ya kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku huu, Novemba 25 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, mtuhumiwa huyo amekamatwa baada ya kuonekana kwenye video mjongeo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, akiwa anawahamasisha wananchi kufanya uhalifu Novemba 27,2024.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

"Maneno hayo ya kuhamasisha vurugu, aliyatamka hadharani Novemba 24,2024, na baada ya kutamka waliyasambaza katika mitandao ya kijamii" amesema Kamanda Maigwa.

Aidha, amesema mtuhumiwa anachukuliwa maelezo ili hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.
View attachment 3161612

TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2
Yaani maneno yakuhatarisha amani yanaongewa na chadema tu lakini hayo yanayo ongewa na viongozi mbalimbali wa ccm, mnayaacha mnasema ni mambo ya kisiasa. uwe kudumisha Amani kwa kubinya baadhi ya haki za watu. Makundi mengi ya kigaidi au yanayoitwa ya kigaida yalianza hivi hivi kwa kuonewa na baadaye na wao wakaamua kuchukua hatua za kulipiza visasi, ikifika hatua hiyo wote hatutakuwa salama, ila turakuwa tumechelewa kwani chuki ndani ya mioyo ya watu inakjirundika kidogo kidogo mwisho inajaa kisado. Najua tunajeshi zuri sana lakulinda Amani lakini na wao wanaona jinsi ndugu zao marafiki zao matendo mbali mbali ya uonevu wanayotendewa pamoja na kula viapo lakini bado ni binadamu. mimi nisisiteze, kusiwe na double stand, akiongea mtu wa CDM mnasema ni uvunjifu wa Amani akiongea lugha hiho hiyo au kali zaidi mtu wa CCM mnasema hayo ni mambo kisiasa sisi hatuingilii.
 
Naona E news walikua wanajadili jinsi Tanzania inavyopoteza legacy iliyoachwa na Mwalimu Julius Nyerere Wataalamu wanasema Wapinzani Tanzania wanaonekana kama ni wahalifu na Nchi haionekani kama ndio ilikua kiungo cha mapambano ya Ukombozi Africa.
 
Naona E news walikua wanajadili jinsi Tanzania inavyopoteza legacy iliyoachwa na Mwalimu Julius Nyerere Wataalamu wanasema Wapinzani Tanzania wanaonekana kama ni wahalifu na Nchi haionekani kama ndio ilikua kiungo cha mapambano ya Ukombozi Africa.
Sijakuelewa unataka kusemaje?
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, kwa madai ya kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku huu, Novemba 25 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, mtuhumiwa huyo amekamatwa baada ya kuonekana kwenye video mjongeo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, akiwa anawahamasisha wananchi kufanya uhalifu Novemba 27,2024.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

"Maneno hayo ya kuhamasisha vurugu, aliyatamka hadharani Novemba 24,2024, na baada ya kutamka waliyasambaza katika mitandao ya kijamii" amesema Kamanda Maigwa.

Aidha, amesema mtuhumiwa anachukuliwa maelezo ili hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.
View attachment 3161612

TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Jeshi la CCM hilo Policcm.
 
Wangetumia tu hii nguvu wanayotumia kwa chadema japo 5% watu wasingekufa pale kariakoo kwenye lile jengo kama kuku vibudu huku raisi akiwa kwenye coŕido za mkutano huko Brazil
Kwa hiyo mpuuzi anaehamasisha fujo aachwe tu kisa ni CHADEMA?
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, kwa madai ya kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku huu, Novemba 25 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, mtuhumiwa huyo amekamatwa baada ya kuonekana kwenye video mjongeo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, akiwa anawahamasisha wananchi kufanya uhalifu Novemba 27,2024.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

"Maneno hayo ya kuhamasisha vurugu, aliyatamka hadharani Novemba 24,2024, na baada ya kutamka waliyasambaza katika mitandao ya kijamii" amesema Kamanda Maigwa.

Aidha, amesema mtuhumiwa anachukuliwa maelezo ili hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.
View attachment 3161612

TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi hawa polisi hawakuwahi kusikia kauli ya mwenyekiti wa UVCCM Kagera????
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja, kwa madai ya kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku huu, Novemba 25 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa, mtuhumiwa huyo amekamatwa baada ya kuonekana kwenye video mjongeo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, akiwa anawahamasisha wananchi kufanya uhalifu Novemba 27,2024.

PIA SOMA
- LGE2024 - ACT Wazalendo: Tumesikitishwa na kitendo cha Polisi kumkamata Mwenyekiti wetu Mkoa wa Songwe, Ezekia Zambi

"Maneno hayo ya kuhamasisha vurugu, aliyatamka hadharani Novemba 24,2024, na baada ya kutamka waliyasambaza katika mitandao ya kijamii" amesema Kamanda Maigwa.

Aidha, amesema mtuhumiwa anachukuliwa maelezo ili hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.
View attachment 3161612

TAARIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kukamata, kuneruhi na kuua ni haki ya Polisi 'kikatiba'
 
Yaani maneno yakuhatarisha amani yanaongewa na chadema tu lakini hayo yanayo ongewa na viongozi mbalimbali wa ccm, mnayaacha mnasema ni mambo ya kisiasa. uwe kudumisha Amani kwa kubinya baadhi ya haki za watu. Makundi mengi ya kigaidi au yanayoitwa ya kigaida yalianza hivi hivi kwa kuonewa na baadaye na wao wakaamua kuchukua hatua za kulipiza visasi, ikifika hatua hiyo wote hatutakuwa salama, ila turakuwa tumechelewa kwani chuki ndani ya mioyo ya watu inakjirundika kidogo kidogo mwisho inajaa kisado. Najua tunajeshi zuri sana lakulinda Amani lakini na wao wanaona jinsi ndugu zao marafiki zao matendo mbali mbali ya uonevu wanayotendewa pamoja na kula viapo lakini bado ni binadamu. mimi nisisiteze, kusiwe na double stand, akiongea mtu wa CDM mnasema ni uvunjifu wa Amani akiongea lugha hiho hiyo au kali zaidi mtu wa CCM mnasema hayo ni mambo kisiasa sisi hatuingilii.
Mkuu wamesahau ya kibiti yalianza hivi, wananchi wakachoka. Yaliyo fuata ni mkasa!!

Wamesahau yaliyojiri Zanzibar kabla ya muafaka na serikali ya umoja wa kitaifa.

Taratibu unapiga hatua kuelekea huko!!!
 
..Mzee Hafizi aje amchukue mke wake.

..Watanganyika tumechokaaa!!
 
Back
Top Bottom