Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe, Rose Mayemba akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha mgomo wa Wafanyabiashara unaoanzia Kariakoo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ninachoweza kusema, kama wafanyabiashara wanataka kugoma kushinikiza mambo yanayohusisha biashara zao Vs Serikali wagome bila kushirikisha wanasiasa wa Tanzania.

Wanasiasa nao wakae mbali na movement zinazohusu raia walio nje ya siasa zao ili hizi movement zisiwe na milengo ya kisiasa.
 
Nadhani ndio sababu 🌹 amekamatwa
 
Uko sahihi. Wanasiasa wakishaweka pua zao wanaharibu kila kitu.
 
Mambo ya Kenya yanaweza tokea hapa Tz? Sidhani bwashee
 
Hoja mfu mkabisa hii. Kwani hakuna watu ambao ni wafanyabiashara na vile vile ni wanasiasa?

Acha uwoga wewe, usiwapangie watu namna ya kuishi. Chawa mkubwa wewe.
 
Mwana umeongea ukweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…