Mwenyekiti wa CHADEMA vijana Kanda ya Nyassa, Victor Baleke, awekwa ndani Kituo cha Polisi Rujewa

Mwenyekiti wa CHADEMA vijana Kanda ya Nyassa, Victor Baleke, awekwa ndani Kituo cha Polisi Rujewa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa CHADEMA Vijana Kanda ya Nyassa, Victor Baleke, amekamatwa na kuwekwa ndani katika Kituo cha Polisi Rujewa asubuhi hii. Baleke alihojiwa jana katika Kituo cha Polisi Chimala na alipewa dhamana.

GdsXSQrXwAAxaKJ.jpg

Taratibu za kufuatilia dhamana nyingine zinaendelea. Aidha, kuna taarifa zinazoonyesha kuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbarali, John, pamoja na mtoto wake, ndiyo wanashinikiza vijana wa CHADEMA wawekwe ndani.

Screenshot 2024-12-02 113524.png

GdsI9RtXkAAO490.jpg
 
Hivi hawa upinzani kuwekewa ndani kila mara sijui kila wakati, inakuwa wametenda makosa au inakuwaje haswaa?

Maana sijawona upinzani wakiwa na nguvu ya kushinda lolote kisiasa tangu enzi za Dr. Slaa.
 
Vijana wadogo, wanapoteza muda tu. Chadema miaka ya mbeleni hata iingie ikulu. Hawa vijana watapageuza ikulu kama maskani. Walllahi
 
Back
Top Bottom