Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa akamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha maombi kwa ajili ya Mbowe

Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa akamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha maombi kwa ajili ya Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Jeshi_la_Polisi_mkoani_Morogoro_limemkamata_Mwenyekiti_wa_Chadema_wilaya_ya_Kilosa,_@david_chi...jpg

Hii ndiyo Taarifa ya hujuma mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa , kwamba David Chiduo ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Kilosa amekamatwa na kuwekwa selo kwa Tuhuma za kuhamasisha maombi kwa wanachama wa Chadema wa Wilaya hiyo kwa ajili ya kumuombea Freeman Mbowe , aliyewekwa gerezani na watawala wa Tanzania kwa tuhuma za uzushi za Ugaidi .

Ikumbukwe kwamba OCD wa Kilosa ni ndugu Lwelwe Mpina aliyekuwa OCD wa Hai na ambaye alishirikiana na Ole Sabaya kwenye masuala yote ya ujambazi wa kutumia Silaha na uporaji , badala ya Lwelwe Mpina kuunganishwa kwenye kesi za Sabaya , akahamishwa na Sirro ili akajifiche Kilosa , ambako bado anaendeleza unyama ule ule alioufanya Hai akijiamini kwamba ataendelea kulindwa .

Mungu ibariki Chadema
 
Waendelee kuchochea kuni kuipika katiba mpya iivemapema zaidi.
 
Police Wanaendelea zuia mafuriko KWa mikono, ipo siku watashangaa , mlichokifanya KWa kumkamata Mbowe ,mlifanya kosa kubwa la kiufundi ,

Joto ndani ya taifa limefika 38c, likifika 42c ndo Basi tena , Maana ndo joto ambalo hata binadam akipata effect ndani ya mwili inakua kubwa
 
Video : Rais mpya wa Zambia Hichilema alipovuliwa viatu na mkanda wakati akiingizwa selo miaka michache iliyopita kwa amri ya Rais wa wakati huo Edgar Lungu

 
Video : Rais mpya wa Zambia Hichilema alipovuliwa viatu na mkanda wakati akiingizwa selo miaka michache iliyopita kwa amri ya Rais wa wakati huo Edgar Lungu

View attachment 1897053
Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
 
Huyu mwamba unamfananisha na faru John?. Hilo genge lenu la Ufipa lipo so disorganized, hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini magaidi.
Ila wewe ambaye huna akili timamu unawaamini siyo?
 
Video : Rais mpya wa Zambia Hichilema alipovuliwa viatu na mkanda wakati akiingizwa selo miaka michache iliyopita kwa amri ya Rais wa wakati huo Edgar Lungu

View attachment 1897053

Amewasamehe wote waliomfanyia ubaya yeye pamoja na upinzani nchini Zambia. Ametaja mateso aliyopitia ikiwa ni pamoja na kushtakiwa kwa uchochezi na ugaidi na kuswekwa ndani na aliyekuwa Rais Edgar Lungu. Amewahakikishia Wazambia kuwa hatalipiza kisasi. Je Tanzania ina chochote cha kujifunza hapa?

Sidhani, thubutu...CCM ni zaidi ya makaburu kwani hata makaburu waliomba msamaha kwa ukatili waliowafanyia Mandela na wapigania uhuru wa Afrika Kusini.
 
Back
Top Bottom