Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa akamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha maombi kwa ajili ya Mbowe

Maombi na gaidi wapi na wapi?. Safari hii magaidi yote mule saccos lazima yashike adabu.
Wewe kila ukishavuta bangi zako breki yako ya kwanza ni hapa. Mnambambikia mtu kesi ya ugaidi huku muuaji wa watu wasio na hatia amejifia bila kufikishwa mahakamani.
 
Akamatwe tu kwa UCHOCHEZI juu ya nchi ILIYOTULIA.....

#KaziIendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…