Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mpwapwa: Atoa tahadhari kwa Mbowe na Lissu

Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mpwapwa: Atoa tahadhari kwa Mbowe na Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Mpwapwa mkoani Didoma, ametoa tahadhari kwa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti wa chama hicho kuacha kulalamika pindi mmoja wao atakapochaguliwa kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Januari 21, 2025.

 
Back
Top Bottom