Mwenyekiti wa chama cha DPP: Watanzania msiogope nyie zaeni, Tanzania ni nchi tajiri

Mwenyekiti wa chama cha DPP: Watanzania msiogope nyie zaeni, Tanzania ni nchi tajiri

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Haya si maneno yangu ni maneno ya mwenyekiti wa chama cha DPP, Philipo John Fumbo.

Fumbo anawaambieni mzae kwa sababu Tanzani ni tajiri.

Maneno haya alishawahi kusema kiongozi mmoja kutoka CCM kabla hajafariki dunia.

================

Kama hizi ndio sera za vyama vya upinzani basi ni bora tuendelee kutawaliwa na CCM.

Yaani shule hazina madawati, vituo vya afya havina dawa alafu mtu anajitokeza anasema tuzaliane.

 
Wakuu,

Haya si maneno yangu ni maneno ya mwenyekiti wa chama cha DPP, Philipo John Fumbo.

Fumbo anawaambieni mzae kwa sababu Tanzani ni tajiri.

Maneno haya alishawahi kusema kiongozi mmoja kutoka CCM kabla hajafariki dunia.

================

Kama hizi ndio sera za vyama vya upinzani basi ni bora tuendelee kutawaliwa na CCM.

Yaani shule hazina madawati, vituo vya afya havina dawa alafu mtu anajitokeza anasema tuzaliane.

View attachment 3176629
Hicho chama chake ni Mali ya CCM
 
Wakuu,

Haya si maneno yangu ni maneno ya mwenyekiti wa chama cha DPP, Philipo John Fumbo.

Fumbo anawaambieni mzae kwa sababu Tanzani ni tajiri.

Maneno haya alishawahi kusema kiongozi mmoja kutoka CCM kabla hajafariki dunia.

================

Kama hizi ndio sera za vyama vya upinzani basi ni bora tuendelee kutawaliwa na CCM.

Yaani shule hazina madawati, vituo vya afya havina dawa alafu mtu anajitokeza anasema tuzaliane.

View attachment 3176629
Kweli. Wanaume ndio wafanye kazi
 
Mimi naomba unijibu swali langu Moja tu.

Kwahiyo tusipozaliana au tusipoza huko shuleni madawati yatajitengeneza yenyewe?
 
Ntajibu swali lako kwa swali

Kwani tukizaliana wengi ndo hayo madawati yatajitengeneza?
Kuzaa ama kuzaliana Kwa wingi au kutokuzaa kabisa haiingiliani kabisa na ubovu wa miundo mbinu ama hasa huko mashuleni kuwa na madawati madarasa mabovu sio sababu. Sababu ni viongozi wetu hata wakiweka Sheria tuzae mtoto mmoja tu hakuna kitakacho badirika kabisa.

China Ina population ya watu wengi zaidi duniani lakin Angalia maendeleo Yao. Kwa sababu ufisadi hauna nafasi kwao lakini hapa kwetu ufisadi ni ujanja na unatukuzwa.

Hayo mbalioni yanasomwa na CAG kama yange thibitiwa na kupelekwa kwenda kuboresha elimu na afya tungekuwa hapa tulipo?


Shida sio kuzaliana Kwa wingi shida ni viongozi wetu na sisi wenyewe hatuna akili. Kwa Tz hii Kuna watu huria njaa na kulala njaa kabisa. Na hizo familia Wala hazina Watoto wengi.

Kuna jirani ana Watoto 3 tu lakini maishi anayoishi ni kama kalaniwa Hadi Sasa kaingizwa kwenye TASSAF Lakini nguvu anazo mashamba mengine kauza sisi kwetu tulikuwa 12 tumebaki 10 na wote tumesoma.


Tupambaneni na rushwa kwanza halafu ndo tuone wapi Tena panafaa kutokomezwa sipingani nawewe lkn kamwe maendeleo hayaji kisa tu hamjazaliana tufanye kazi.
 
Wakuu,

Haya si maneno yangu ni maneno ya mwenyekiti wa chama cha DPP, Philipo John Fumbo.

Fumbo anawaambieni mzae kwa sababu Tanzani ni tajiri.

Maneno haya alishawahi kusema kiongozi mmoja kutoka CCM kabla hajafariki dunia.

================

Kama hizi ndio sera za vyama vya upinzani basi ni bora tuendelee kutawaliwa na CCM.

Yaani shule hazina madawati, vituo vya afya havina dawa alafu mtu anajitokeza anasema tuzaliane.

View attachment 3176629
Huyu ni KICHAA aliye vaa vizuri, Apuuzwe.
 
Back
Top Bottom