Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Mwenyekiti wa Chama cha Kijamii CCK, David Daud Mwajojele, amesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji ulifanyika vizuri.
Soma pia: Uchaguzi 2020 Chama Cha Kijamii(CCK) kimeshindwa kutimiza vigezo vya kisheria kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais
Pia alidokeza kuwa katika uchaguzi huo kulikuwa na changamoto ndogo ndogo, akitolea mfano dosari iliyojitokeaza kwenye moja ya mkutano wa chama hicho, uliovamiwa na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Soma pia: Uchaguzi 2020 Chama Cha Kijamii(CCK) kimeshindwa kutimiza vigezo vya kisheria kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais
Pia alidokeza kuwa katika uchaguzi huo kulikuwa na changamoto ndogo ndogo, akitolea mfano dosari iliyojitokeaza kwenye moja ya mkutano wa chama hicho, uliovamiwa na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).