Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu afunga Mkutano Maalum wa CCM Taifa Jijini Dodoma

Wazo Kuu

Senior Member
Joined
Oct 21, 2018
Posts
114
Reaction score
295
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo kutoka kwa Wazee nchini kwa kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa wa kuleta maendeleo nchini kabla ya kufunga Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo tarehe 01 Aprili, 2022.











View attachment 18.jpg
 
Vp hawajagawana mbao huko ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…