Mwenyekiti wa chama cha UDP: Kuelekea 2050 tunahitaji Rais Kichaa atakayetokomeza rushwa!

Mwenyekiti wa chama cha UDP: Kuelekea 2050 tunahitaji Rais Kichaa atakayetokomeza rushwa!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mwenyekiti wa UDP Taifa Bw. John Cheyo amesema kuelekea mwaka 2050 anatamani Tanzania impate Rais 'Kichaa' atakayekuwa na ujasiri na nguvu ya kupambana na vitendo vya rushwa

=============

Mwambieni Cheyo tushawahi kupata Rais "kichaa" ambaye mpaka alileta wazo la mahakama ya "mafisadi" lakini rushwa ipo hadi leo.

Hatuhitaji kichaa ili rushwa iondoke nchini, tunahitaji Rais AFUATE KATIBA na taasisi kama TAKUKURU ziwe na meno makali.

Kama hizi ndo sera za wapinzani bora niendelee kutokupiga kura.


 
Mzee Cheyo apumzike, katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inataka Rais asiwe na matatizo ya akili...hatuwezi kuongozwa na vichaa🐼
 
Mwenyekiti wa UDP Taifa Bw. John Cheyo amesema kuelekea mwaka 2050 anatamani Tanzania impate Rais 'Kichaa' atakayekuwa na ujasiri na nguvu ya kupambana na vitendo vya rushwa

=============

Mwambieni Cheyo tushawahi kupata Rais "kichaa" ambaye mpaka alileta wazo la mahakama ya "mafisadi" lakini rushwa ipo hadi leo.

Hatuhitaji kichaa ili rushwa iondoke nchini, tunahitaji Rais AFUATE KATIBA na taasisi kama TAKUKURU ziwe na meno makali.

Kama hizi ndo sera za wapinzani bora niendelee kutokupiga kura.


View attachment 3176720
Tulimpata Magufuli CCM wakamuua na huyo anayependekezwa na Cheyo sidhani kama naye hatadumu kama atapaikana.
 
Tulimpata Magufuli CCM wakamuua na huyo anayependekezwa na Cheyo sidhani kama naye hatadumu kama atapaikana.
Kwani Magufuli alikuwa kichaa?

Hata hivyo Katiba ya Tanzania hairuhusu nchi kuongozwa na kichaa.
 
Mwenyekiti wa UDP Taifa Bw. John Cheyo amesema kuelekea mwaka 2050 anatamani Tanzania impate Rais 'Kichaa' atakayekuwa na ujasiri na nguvu ya kupambana na vitendo vya rushwa
Huyu Mzee kigeugeu sana, hivi huyu uenyekiti wake si zaidi ya Mbowe?
 
Back
Top Bottom