Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar ACT Wazalendo Othman Masoud kesho ataongea na Waandishi wa Habari!

Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar ACT Wazalendo Othman Masoud kesho ataongea na Waandishi wa Habari!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar ACT Wazalendo mh Othman Masoud kesho ataongea na Waandishi wa Habari.

Kadhalika Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Tanganyika mh Freeman Mbowe kesho ataongea na Waandishi wa Habari.

Hatari na nusu 🐼

Mlale Unono 😀😀
 
Labda anatangaza kujitoa kwa ACT Wazalendo katika serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar maana kuna kipindi walitangaza hali si shwari hivyo kama mambo hayajawekwa sawa watajitoa katika serikali.
 
Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar ACT Wazalendo mh Othman Masoud kesho ataongea na Waandishi wa Habari

Kadhalika Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Tanganyika mh Freeman Mbowe kesho ataongea na Waandishi wa Habari

Hatari na nusu 🐼

Mlale Unono 😀😀
Wanakwenda kuunga mkono juhudi
 
Back
Top Bottom