Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara, Chrisant Nyakitita ajitokeza kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426

Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara Mh Chrisant Nyakitita , leo amejitokeza mbele ya vyombo vya habari na kutangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Oktoba .

Wagombea wanaojitokeza wote watapimwa na Watanzania wenyewe kuona ni yupi kati yao anafaa , ni vema vyama vya siasa vikaruhusu demokrasia ndani ya vyama vyao ili kutuachia sisi wananchi wigo mpana wa kuchagua .
 
Jiwe akishindanishwa na mtu yeyote ndani ya chama chake anagaragazwa vibaya mno
 
Hayo mapapai hayana covidvirus?
 
Kwa hali ilivyo sasa hivi huyo jamaa akisimama pekee na JPM hakika anachukua.
Yaani mzee kachokwa hadi ndani ya CCM ndio maana kaagiza fomu ichapishwe moja tuu na apewe mama jesca akae nayo kabisa
 
hivi watu wanauchukuliaje urais?
jiwe mwenyewe aliingia akiwa kijana, saiv ukimcheck kazeeka tayari
 
Kwa hali ilivyo sasa hivi huyo jamaa akisimama pekee na JPM hakika anachukua.
Yaani mzee kachokwa hadi ndani ya CCM ndio maana kaagiza fomu ichapishwe moja tuu na apewe mama jesca akae nayo kabisa
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…