DOKEZO Mwenyekiti Wa Halmashuri Ya Hai amenipora ardhi Yangu, Rais Samia nisadie

DOKEZO Mwenyekiti Wa Halmashuri Ya Hai amenipora ardhi Yangu, Rais Samia nisadie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Aug 21, 2021
Posts
16
Reaction score
20
BARUA YA WAZI KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Mh Rais Pole Kwa majukumu, Mimi naitwa Emanuel Magoya Lucumay ni mkazi wa jimbo la Hai, nimelazimika kuandika barua hii kuelezea kilio cha familia yetu ya Ukoo wa Magoya juu ya manyanyaso tunayopitia, dhuluma Kubwa tuliofanyiwa na Emanuel Loishyie Laiza na Rafiki yake Edmund Rutaraka ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Halmashuri ya Hai.

Mh Rais, Ndugu watajwa hapo juu ni watu wakihusika kumdhulumu ardhi yenye ukubwa wa hekeri 20 baba yangu Lucumay Magoya anaepatikana Kitongoji Cha Mlima Shabaha Kata ya Muungano.

Dhuluma hii imefanywa na Ndugu Loishyie Laiza akisaidiwa na Diwani wa kata yetu ambae pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri yetu, tumejaribu kushtaki Kwa Mwenyekiti wa Kitongoji Ndugu moseka Singo bila mafanikio, tumefikisha Kwa Mwenyekiti wa ccm kata ndugu Dave bugama lakini nae ameshindwa kulitatua maana Mwenyekiti wa Halmashauri amekuwa anawatisha watumishi wa Halmashauri wanaoonyesha kutaka kutusadia, na Jana wametuma Mjumbe wa Kijiji aje kututisha kuwa tukiendelea kufuatilia suala hilo atatupoteza.

Mhe Rais Tunaomba uingilie kati jambo hili, najua kesho utapita hapa Kwa sadala naomba niongee hili hadharani, tumechoka manyanyaso ya Mwenyekiti Rutaraka ambae amekuwa akiwatumia marafiki wake matajiri kupora ardhi za wanyonge.

Malalamiko dhidi ya Mwenyekiti Huyu yamekuwa mengi sasa, anatisha watumishi wa umma waadilifu, anatisha wafanyabiashara, ameunda Magenge mitandaoni yakutukana serikali na viongozi wa Chama ambao wanajaribu kumsahihisha na kumshauri.

TUSAIDIE MAMA, HUYU MWENYEKITI ONDOKA NAE MAMA.
 
BARUA YA WAZI KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Mh Rais Pole Kwa majukumu, Mimi naitwa Emanuel Magoya Lucumay ni mkazi wa jimbo la Hai, nimelazimika kuandika barua hii kuelezea kilio cha familia yetu ya Ukoo wa Magoya juu ya manyanyaso tunayopitia, dhuluma Kubwa tuliofanyiwa na Emanuel Loishyie Laiza na Rafiki yake Edmund Rutaraka ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Halmashuri ya Hai.

Mh Rais, Ndugu watajwa hapo juu ni watu wakihusika kumdhulumu ardhi yenye ukubwa wa hekeri 20 baba yangu Lucumay Magoya anaepatikana Kitongoji Cha Mlima Shabaha Kata ya Muungano. Dhuluma hii imefanywa na Ndugu Loishyie Laiza akisaidiwa na Diwani wa kata yetu ambae pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri yetu, tumejaribu kushtaki Kwa Mwenyekiti wa Kitongoji Ndugu moseka Singo bila mafanikio, tumefikisha Kwa Mwenyekiti wa ccm kata ndugu Dave bugama lakini nae ameshindwa kulitatua maana Mwenyekiti wa Halmashauri amekuwa anawatisha watumishi wa Halmashauri wanaoonyesha kutaka kutusadia, na Jana wametuma Mjumbe wa Kijiji aje kututisha kuwa tukiendelea kufuatilia suala hilo atatupoteza.

Mhe Rais Tunaomba uingilie kati jambo hili, najua kesho utapita hapa Kwa sadala naomba niongee hili hadharani, tumechoka manyanyaso ya Mwenyekiti Rutaraka ambae amekuwa akiwatumia marafiki wake matajiri kupora ardhi za wanyonge.

Malalamiko dhidi ya Mwenyekiti Huyu yamekuwa mengi sasa, anatisha watumishi wa umma waadilifu, anatisha wafanyabiashara, ameunda Magenge mitandaoni yakutukana serikali na viongozi wa Chama ambao wanajaribu kumsahihisha na kumshauri.

TUSAIDIE MAMA, HUYU MWENYEKITI ONDOKA NAE MAMA.
Duh...!.
P
 
Sawa Hilo nalo atajiangalia, ila shauri lako umelifikisha kwenye vyombo vya sheria? Au limekaa kichama maana naona sijui nani wa CCM amelishindwa au hilo linamalizwa kikada?
 
BARUA YA WAZI KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Mh Rais Pole Kwa majukumu, Mimi naitwa Emanuel Magoya Lucumay ni mkazi wa jimbo la Hai, nimelazimika kuandika barua hii kuelezea kilio cha familia yetu ya Ukoo wa Magoya juu ya manyanyaso tunayopitia, dhuluma Kubwa tuliofanyiwa na Emanuel Loishyie Laiza na Rafiki yake Edmund Rutaraka ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Halmashuri ya Hai.

Mh Rais, Ndugu watajwa hapo juu ni watu wakihusika kumdhulumu ardhi yenye ukubwa wa hekeri 20 baba yangu Lucumay Magoya anaepatikana Kitongoji Cha Mlima Shabaha Kata ya Muungano.

Dhuluma hii imefanywa na Ndugu Loishyie Laiza akisaidiwa na Diwani wa kata yetu ambae pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri yetu, tumejaribu kushtaki Kwa Mwenyekiti wa Kitongoji Ndugu moseka Singo bila mafanikio, tumefikisha Kwa Mwenyekiti wa ccm kata ndugu Dave bugama lakini nae ameshindwa kulitatua maana Mwenyekiti wa Halmashauri amekuwa anawatisha watumishi wa Halmashauri wanaoonyesha kutaka kutusadia, na Jana wametuma Mjumbe wa Kijiji aje kututisha kuwa tukiendelea kufuatilia suala hilo atatupoteza.

Mhe Rais Tunaomba uingilie kati jambo hili, najua kesho utapita hapa Kwa sadala naomba niongee hili hadharani, tumechoka manyanyaso ya Mwenyekiti Rutaraka ambae amekuwa akiwatumia marafiki wake matajiri kupora ardhi za wanyonge.

Malalamiko dhidi ya Mwenyekiti Huyu yamekuwa mengi sasa, anatisha watumishi wa umma waadilifu, anatisha wafanyabiashara, ameunda Magenge mitandaoni yakutukana serikali na viongozi wa Chama ambao wanajaribu kumsahihisha na kumshauri.

TUSAIDIE MAMA, HUYU MWENYEKITI ONDOKA NAE MAMA.
Unasema mmepeleka kesi kwa mwenyekiti wa kitongoji? Na kiongozi wa CCM? Huwezi kuwa serious kiongozi.

Masuala ya ardhi yana ngazi na mamlaka sahihi za kushuguulikia.
1. Baraza la ardhi la kata.
2. Baraza la ardhi na nyumba la wilaya
3. Na kuendelea kwa ngazi hizo hadi mahakaa kuu na mahakama ya rufani kwa ajili ya rufaa.

Ninasikitika kukueleza kuwa hizo njia mlizothmia kama ukoo wenu sio sahihi kabisa na hazitambuliki tafadhali chukua hatua stahiki juu ya hili suala na ebdapo usipopata matokeo tarajiwa ndio uanze kulia na hao wakuu wa mamlaka.
 
Mtoa mada unaonyesha dhahiri jinsi unavyotumika vibaya. Siasa imeshatoka huko siku hizi.

Labda nikufahamishe tuu, Mh. Rutaraka ni mtu makini sana na weledi wake unafahamika hawezi kufanya hayo mambo.

Kwanza hizo hekari 20 uku mlima shabaha unazipata wapi? na kama ni kweli umefanyiwa hiyo dhuluma kwanini usitoe taarifa kwenye vyombo vya sheria? Unamtaka Mh. Raisi akusaidie kivipi?

Nikushauri tena wacha kutumika vibaya.
 
BARUA YA WAZI KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Mh Rais Pole Kwa majukumu, Mimi naitwa Emanuel Magoya Lucumay ni mkazi wa jimbo la Hai, nimelazimika kuandika barua hii kuelezea kilio cha familia yetu ya Ukoo wa Magoya juu ya manyanyaso tunayopitia, dhuluma Kubwa tuliofanyiwa na Emanuel Loishyie Laiza na Rafiki yake Edmund Rutaraka ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Halmashuri ya Hai.

Mh Rais, Ndugu watajwa hapo juu ni watu wakihusika kumdhulumu ardhi yenye ukubwa wa hekeri 20 baba yangu Lucumay Magoya anaepatikana Kitongoji Cha Mlima Shabaha Kata ya Muungano.

Dhuluma hii imefanywa na Ndugu Loishyie Laiza akisaidiwa na Diwani wa kata yetu ambae pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri yetu, tumejaribu kushtaki Kwa Mwenyekiti wa Kitongoji Ndugu moseka Singo bila mafanikio, tumefikisha Kwa Mwenyekiti wa ccm kata ndugu Dave bugama lakini nae ameshindwa kulitatua maana Mwenyekiti wa Halmashauri amekuwa anawatisha watumishi wa Halmashauri wanaoonyesha kutaka kutusadia, na Jana wametuma Mjumbe wa Kijiji aje kututisha kuwa tukiendelea kufuatilia suala hilo atatupoteza.

Mhe Rais Tunaomba uingilie kati jambo hili, najua kesho utapita hapa Kwa sadala naomba niongee hili hadharani, tumechoka manyanyaso ya Mwenyekiti Rutaraka ambae amekuwa akiwatumia marafiki wake matajiri kupora ardhi za wanyonge.

Malalamiko dhidi ya Mwenyekiti Huyu yamekuwa mengi sasa, anatisha watumishi wa umma waadilifu, anatisha wafanyabiashara, ameunda Magenge mitandaoni yakutukana serikali na viongozi wa Chama ambao wanajaribu kumsahihisha na kumshauri.

TUSAIDIE MAMA, HUYU MWENYEKITI ONDOKA NAE MAMA.

Mh.saashisa Mafue Mbunge wa Jimbo la HAI una IDs ngapi humu Jf?​

 
Back
Top Bottom